Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
soma hiyo link niliyokutumia Kenya ipo namba 13 kati ya top 20 countries zilizopo katika critical condition ya failed states
Nani alisema Tanzania ina shida na GDP, are you crazy?, Tanzania is struggling to provide its citizen with safe and clean water, jobs, food, heath, and security. Ninyi endeleeni kufukuzana na GDP lakini kumbukeni mkija kushituka, robo ya population wamekufa kwa njaa, na waliobaki wanaishi kwenye slums.Haha hawa watu bado wana ndoto ya kutupiku na gap inaendelea kupanuka
Mjinga wewe, soma hiyo link niliyokutumia Kenya ipo namba 13 kati ya top 20 countries zilizopo katika critical condition ya failed states
Nani alisema Tanzania ina shida na GDP, are you crazy?, Tanzania is struggling to provide its citizen with safe and clean water, jobs, food, heath, and security. Ninyi endeleeni kufukuzana na GDP lakini kumbukeni mkija kushituka, robo ya population wamekufa kwa njaa, na waliobaki wanaishi kwenye slums.
Hata Syria imewapiku ikiwa bado vitani Kwani nyinyi ni vilaza vipi? Hahahahahahaha... You need a little colonization by Kenya mpate akili.But Syria GDP is $103B, still is a failed state like Kenya, GDP can't salvage Kenya from a list of failed state nations http://allafrica.com/stories/201006231033.html
There must be an error! Kenyan media is a joke!
Critical condition is not a failed state. Ethiopia is also in a critical condition. and last i checked both our economies are double your pathetic countries GDP.. both have completed SGR.. both have vibrant economies..
all Tanzania has to show is Duhhhh.... illiterate Tanzanian.. Kuja Kenya to a quality education.. not a failed one
Sawa ndugu. Tatizo la vijana wengi wa kenya wanaoingia humu hawana hata taarifa zozote wanakimbilia tu kuweka vitu. They don't have critical and analytical data.Mkuu twende nao taratibu tu wataelewa waache waendee kukoti nyuzi tu
Kenya yashushwa uwezo wake wa kukopa kimataifa. Ina maana gani kwako?and America most Indebted country in the world but compared to their GDP's doing way better than Tanzania at 67% making Tanzanian debt more toxic to their economy. Tanzania is doing the worst as always
Wakenya wameanza kuhaha sasa. I can see how Kenyans care much about TZ. Huwezi kukuta gazeti la Tanzania linaandika issues za Kenya.
I can see now, Inferiority complex ya wakenya at the big level.
I don't get you. you have a sound GDP, vibrant economy and what you have, so why are you still in critical condition in the ICU.
it's like a healthy person is in ICU. nini hiyo. can you elucidate the point??
I don't get you. you have a sound GDP, vibrant economy and what you have, so why are you still in critical condition in the ICU.
it's like a healthy person is in ICU. nini hiyo. can you elucidate the point??
You are too obsessed with Tanzania. We don't care about what you little boys do.The focus of the article was Africa's debt crisis as a whole and the paper being widely read in East Africa narrowed it to the region including Mozambique. Trying to marry Kenya with inferiority complex in the same sentence is in fact exposing your own in-sensibilities and inferiority!
You are too obsessed with Tanzania. We don't care about what you little boys do.
We are concentrating to build our national.