Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ukila kitu kime expire unakuwaje maana mimi huwa siangalii nanunua nakulaWakuu niaje.
Umewahi kutumia kitu, baada ya kukitumia ukagundua kimeexpire.
- Ulitumia kitu gani?
- Ulichukua hatua gani baada kujua?
- Nini kilifanya mpaka ikawa hivyo? Ulijisahau! au ilikuaje.
Madhara ni makubwa mno au ni tumbo kuuma na kuharishaHaha kuna madhara sema nasikia huwa bidhaa inaanza kuwa na madhara miezi mitatu baada ya ile expiration date
Huwa noma sana mkuu, hasa ikiwa ni bidhaa za kula au kunywa kama chakula na madawa.Sure, Imekua kawaida watu kutumia bidhaa zilizoisha mda wake bila kujua.
Especially bidhaa ndogondogo kama Dawa ya meno.
Nakumbuka kuna siku niliagiza Bia yangu pendwa somewhere. Chupa ya pili nikaanza kufeel kama kitu hakipo sawa, chupa ya tatu dakika za mwishoni nikagundua mzigo uliexpire way back. Anyway niliimalizia kiungwana na kumove on
Very risky na watumiaji wengi hawangalii expire date,Huwa noma sana mkuu, hasa ikiwa ni bidhaa za kula au kunywa kama chakula na madawa.
Watu nikubugia tu, tatizo hakuna ukaguziHuenda hawana elimu juu ya mambo ya expiry date
Natumia many timesWakuu niaje.
Umewahi kutumia kitu, baada ya kukitumia ukagundua kimeexpire.
- Ulitumia kitu gani?
- Ulichukua hatua gani baada kujua?
- Nini kilifanya mpaka ikawa hivyo? Ulijisahau! au ilikuaje.
Hakuna Kama matunzo ni memamiezi 6 mkuu hakuna madhara !!!!!???