Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,253
Wakuu,
Preamble: Uhuru Kenyatta ni mtoto wa Marehemu Jomo Kenyatta, Rais wa
kwanza wa Jamhuri ya Kenya. Kwa sasa anamiliki nyadhifa ya Waziri wa
Fweza wa Kenya.
Kuna skendo mbili zina-unfold Kenya miongoni mwa nyengine kibao lakini hii
ya huyu bwana ni kali zaidi. Wakati babake akiwa rais, jamaa waliiba
mashamba kibao nchi nzima mpaka kuwafanya wakazi halisi kugeuzwa na
kua maskwata on their own land.
Baada ya lile fujo la mwaka juzi, ilibainika wazi kwa wakenya wote kwamba
kama umemiliki ardhi katika sehemu ambazo huna ukoo/asilia, serikali
haiwezi ku-guarantee usalama wako in the days to come. Kwa hivyo in
these circumstances of things mamake Uhuru Kenyatta (Mama Ngina
Kenyatta) akajipendekeza kwa serikali ya Kibaki kwamba she would
sell some of the land back to the Govt ilimradi kuwasettle wale
maskwata.Kwa jumla zile parseli za mashamba zingewaletea mabilioni
kadhaa kama familia. Swali wakenya wanauliza ni je, mbona jamaa wanauzia
serikali mashamba ambao kwamba waliiba in the first place? Pili mbona hii
dili inaivishwa wakati Uhuru Kenyatta is the Finance Minister? Yaani fisi
kawekwa kuchunga banda la kuku!!!
Kisha baada ya hilo vumbi kufifia, pametokea skendo nyengine ya 9.2 billion
kenya shillings katika bajeti.Jamaa wameitundika hii figure ndani ya bajeti
ili kufurisha matumbo yao.Dili yenyewe iliposhtukiwa, Uhuru Kenyatta
akajitetea kua ni typographical error!!!!...Inanikumbusha yule mzee
wetu wa 'vijisenti'. A figure of 9.2billion KSH cannot be typo error no way
na hapa kuna mchezo unachezwa.....Cha kusikitisha ni kwamba Kibaki naye
anamsupport Uhuru Kenyatta katika hii ishu and it makes you wonder at
wanton and rckless corruption in the clique that runs Kenya maana its
not a government no more.Ushkaji na usanii umezidi.Soma makala...
Deputy Prime Minister Uhuru Kenyatta (right) with President Kibaki's son, Jimmy, during a funds drive at the Othaya Catholic Church on Sunday. Mr Kenyatta blamed unnamed officials at the Treasury for the Sh9.2 billion "printing error" that has put him under the spotlight. A parliamentary committee will on Tuesday table its findings on the scandal, which Mr Kenyatta has blamed on political detractors
By JOHN NJAGI and BERNARD NAMUNANE
Posted Sunday, May 10 2009 at 20:17
In Summary
Mr Kenyatta, also a Deputy Prime Minister, was told by the President's son, Jimmy: "We are aware that there are many enemies who are fighting you, but if the President believes in you then the rest of Kenyans also support you."
The public defence of the Finance minister came at a fund raising in President Kibaki's Othaya constituency, where speakers accused unnamed Treasury officials of colluding with Mr Kenyatta's political rivals.
Mr Kenyatta has been under increasing pressure since blaming a typing or computer error for the massive discrepancy in the budgetary figures after initially denying in a Ministerial Statement in the House that there was anything wrong with the numbers, and launching scathing criticism against Imenti Central MP Gitobu Imanyara, who had raised the issue.
On Sunday, Mr Kenyatta left the fund-raising meeting early, explaining that he had to rush back to his office to attend to the matter.
"There are things in my ministry that appear to have gone wrong," he said before handing over the baton of chief guest to newly-appointed Nairobi Metropolitan Development minister Njeru Githae.
An aide of Mr Kenyatta, who sought anonymity, told the Nation that the Finance minister was going to make a major reshuffle at the Treasury.
Mr Kenyatta had blamed political enemies whom he claimed lacked a development agenda.
"I urge those making noise, including the media, to go back and start working instead of focusing on the negative," he said.
However, he did not offer explanations on how he came to read figures which had been altered.
"You have all read the newspapers and what they have been reporting. But that will not detract me from working to achieve my goals," he said.
In Othaya, his allies claimed that the Finance minister was being sabotaged by Treasury officials who were out to ensure that he fails in a docket that has recorded a high turn-over in the last five years due to scandals.
Mr Kenyatta is one of the key politicians in the PNU coalition seeking to succeed President Kibaki. Others are Vice President Kalonzo Musyoka and Internal Security minister George Saitoti.
Gichugu MP Martha Karua is also in the race, but she recently quit as minister for Justice and Constitutional Affairs, citing frustrations by forces hostile to reforms.
In addition to Mr Jimmy Kibaki, other speakers who defended Mr Kenyatta at the meeting included assistant minister Kareke Mbiuki and Kamukunji MP Simon Mbugua.
Mr Mbiuki, an assistant minister for Agriculture, claimed that Mr Kenyatta was a victim of sabotage.
"We are aware there are people in the Treasury out to frustrate the Finance minister by giving him the wrong figures and we will not allow that to happen," he said.
Mr Kenyatta has already invited the Criminal Investigations Department (CID and National Security Intelligence Services (NSIS) to investigate the matter.
DAILY NATION*- Sh9bn: Uhuru told he has Kibaki’s support
Mungu naomba Ibariki Kenya kutokana na hawa mabwanyenye!
Preamble: Uhuru Kenyatta ni mtoto wa Marehemu Jomo Kenyatta, Rais wa
kwanza wa Jamhuri ya Kenya. Kwa sasa anamiliki nyadhifa ya Waziri wa
Fweza wa Kenya.
Kuna skendo mbili zina-unfold Kenya miongoni mwa nyengine kibao lakini hii
ya huyu bwana ni kali zaidi. Wakati babake akiwa rais, jamaa waliiba
mashamba kibao nchi nzima mpaka kuwafanya wakazi halisi kugeuzwa na
kua maskwata on their own land.
Baada ya lile fujo la mwaka juzi, ilibainika wazi kwa wakenya wote kwamba
kama umemiliki ardhi katika sehemu ambazo huna ukoo/asilia, serikali
haiwezi ku-guarantee usalama wako in the days to come. Kwa hivyo in
these circumstances of things mamake Uhuru Kenyatta (Mama Ngina
Kenyatta) akajipendekeza kwa serikali ya Kibaki kwamba she would
sell some of the land back to the Govt ilimradi kuwasettle wale
maskwata.Kwa jumla zile parseli za mashamba zingewaletea mabilioni
kadhaa kama familia. Swali wakenya wanauliza ni je, mbona jamaa wanauzia
serikali mashamba ambao kwamba waliiba in the first place? Pili mbona hii
dili inaivishwa wakati Uhuru Kenyatta is the Finance Minister? Yaani fisi
kawekwa kuchunga banda la kuku!!!
Kisha baada ya hilo vumbi kufifia, pametokea skendo nyengine ya 9.2 billion
kenya shillings katika bajeti.Jamaa wameitundika hii figure ndani ya bajeti
ili kufurisha matumbo yao.Dili yenyewe iliposhtukiwa, Uhuru Kenyatta
akajitetea kua ni typographical error!!!!...Inanikumbusha yule mzee
wetu wa 'vijisenti'. A figure of 9.2billion KSH cannot be typo error no way
na hapa kuna mchezo unachezwa.....Cha kusikitisha ni kwamba Kibaki naye
anamsupport Uhuru Kenyatta katika hii ishu and it makes you wonder at
wanton and rckless corruption in the clique that runs Kenya maana its
not a government no more.Ushkaji na usanii umezidi.Soma makala...
Sh9bn: Uhuru told he has Kibaki's support
Deputy Prime Minister Uhuru Kenyatta (right) with President Kibaki's son, Jimmy, during a funds drive at the Othaya Catholic Church on Sunday. Mr Kenyatta blamed unnamed officials at the Treasury for the Sh9.2 billion "printing error" that has put him under the spotlight. A parliamentary committee will on Tuesday table its findings on the scandal, which Mr Kenyatta has blamed on political detractors
By JOHN NJAGI and BERNARD NAMUNANE
Posted Sunday, May 10 2009 at 20:17
In Summary
-
Finance minister's allies blame media and political enemies for budget fiasco
Mr Kenyatta, also a Deputy Prime Minister, was told by the President's son, Jimmy: "We are aware that there are many enemies who are fighting you, but if the President believes in you then the rest of Kenyans also support you."
The public defence of the Finance minister came at a fund raising in President Kibaki's Othaya constituency, where speakers accused unnamed Treasury officials of colluding with Mr Kenyatta's political rivals.
Mr Kenyatta has been under increasing pressure since blaming a typing or computer error for the massive discrepancy in the budgetary figures after initially denying in a Ministerial Statement in the House that there was anything wrong with the numbers, and launching scathing criticism against Imenti Central MP Gitobu Imanyara, who had raised the issue.
On Sunday, Mr Kenyatta left the fund-raising meeting early, explaining that he had to rush back to his office to attend to the matter.
"There are things in my ministry that appear to have gone wrong," he said before handing over the baton of chief guest to newly-appointed Nairobi Metropolitan Development minister Njeru Githae.
An aide of Mr Kenyatta, who sought anonymity, told the Nation that the Finance minister was going to make a major reshuffle at the Treasury.
Mr Kenyatta had blamed political enemies whom he claimed lacked a development agenda.
"I urge those making noise, including the media, to go back and start working instead of focusing on the negative," he said.
However, he did not offer explanations on how he came to read figures which had been altered.
"You have all read the newspapers and what they have been reporting. But that will not detract me from working to achieve my goals," he said.
In Othaya, his allies claimed that the Finance minister was being sabotaged by Treasury officials who were out to ensure that he fails in a docket that has recorded a high turn-over in the last five years due to scandals.
Mr Kenyatta is one of the key politicians in the PNU coalition seeking to succeed President Kibaki. Others are Vice President Kalonzo Musyoka and Internal Security minister George Saitoti.
Gichugu MP Martha Karua is also in the race, but she recently quit as minister for Justice and Constitutional Affairs, citing frustrations by forces hostile to reforms.
In addition to Mr Jimmy Kibaki, other speakers who defended Mr Kenyatta at the meeting included assistant minister Kareke Mbiuki and Kamukunji MP Simon Mbugua.
Mr Mbiuki, an assistant minister for Agriculture, claimed that Mr Kenyatta was a victim of sabotage.
"We are aware there are people in the Treasury out to frustrate the Finance minister by giving him the wrong figures and we will not allow that to happen," he said.
Mr Kenyatta has already invited the Criminal Investigations Department (CID and National Security Intelligence Services (NSIS) to investigate the matter.
DAILY NATION*- Sh9bn: Uhuru told he has Kibaki’s support
Mungu naomba Ibariki Kenya kutokana na hawa mabwanyenye!
Last edited: