Angel Nylon u r one n the only one to whom i truly adore n love! u were once mine, now u r mine n always u ll be! as 4 now my luv 2 u wil never die...! speaking from the innermost part of my heart its me ur heartbeat shana boy!
Thanks DEMBA, unaonekana kimachale sana, au ndio ankal Kaizer kakuficha weh??
My dia Heaven on Earth am so gud mamie, ila umenisusa eeh!!!
Wewe unanidanganya... Haya kama ni kweli siku ukiwa unaenda Kamachumu unipitie twende pamoja!!!
Love u more
A million thanks to the man of my dreams
Na wewe unajisogezankwenye kinyanganyiro taratibu? Mbona huyu bwana Mswati?
Umepotelea wapi jana na leo?
Mambo Mtende.mtoa mada wewe mbona hujaexpress love yako?hebu anza afu wengine tutafatia
mhhhhhhhhhhh
sina sababu ya kukudanganya my number one girl....mbona ofa ya fastjet hujaitumia?
Njoo tu tugawane umasikini, ila kaa ukijia when he runs for presidency in 2025, mimi ndo 1st Lady! Kiti changu kaa nacho mbali, patachimbika! Otherwise unaruhusiwa kumburudisha! He needs to focus! Kwanza chukua kadi, ndo utaeleweka!
Hahahaaaaaaa! Hujagundua huyu HB ni for future use! Akiwa prezidaa utamkumbuka mbona?namzengua tu wala sijisogezi anaonekana mchumi pesa yake kwenye walet tu
Aaaaaaaaw! Thnks baby kwa kushukuru, nawakumbusha tu kuwa mimi ndo bi mkubwa wao, tusiingiliane!asante love kwa kuweka records straight.....
sante daughter. unaendeleaje? mkwe alishapatikana?