CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
I would love to express my love to.. Morg my Heaven on Earth Vaislay my number one gal charminglady kubwa la maadui na kada namba moja wa Chama lara 1 miss chagga na warembo woooooote wa JF
Tobaaaaaaaa! Mganga wako mkali bandugu! ILA KUMBUKA MIMI NDO FIRST LADY, NAFASI ZOTE OFFICIAL NAKABA MIMI, Moyoni mwake you can be his number 1, its fine with me!
Hmmm ufisadi hadi kwenye mapenzi looh
Asante sana my boss charming glady,nami kwa niaba ya akananas Paloma na Passion Lady tuna sambaza upendo kwako bila kuwa sahau Mtambuzi, Rich Woman Munkari Angelicious Madame B @figganiga DEMBA, atug., lara1
Daaa Walimu wangu wamenitoa mbali pamoja na kuwa na kichwa kigumu lakini nikifundishwa na hawa naelewa sana ...... Mwl gfsonwin snowhite Evelyn Salt.
Daaa upendo huu usambae hadi kwa Nicas Mtei, arusha one, Mungi, Crashwise.
List hii itaendelea.........
Sio ufisadi bali mapenzi ya dhati...
#teambazazi sio mchezo
sema unanipenda hahhahah
ila beb wangu@NAMTUMBA akiona kazi kwako...
Hahahahahaaaaaa! Binti uzee hazina, ukubwa dawa atii! Acha kujifanya cyborg mambo ya kuendesha nchi na umri huo wakati wenzio wako club utayawezea wapi? Policy unazijua? Katiba mpya utaiweza? Strategy una roho ya korosho kuexecute strategy za ushindi? You are too young for this duty! Baby Vin Diesel can you send a girl to do a womans job? Ofcourse not! Eeeeeeh! We kuwa kiburudisho, make him happy ao as he gets us more money! I take care of the spotlight you take care of him in bed and we all keep the fortune, eveeybody is happy! Division of labour at its highest!Umeshachoka wewe hebu kaa pembeni utupishe watoto ng'aring'ari...huhuhuuuuu
Makopa kopa tele kwako ewe malkia wa moyo wangu.
Hebu soma signature ya Kaizer.....ongeza idadi ya risasi
Yaani unafagilia kote kote basi m najitoa...nilijua utasimama badala yangu...:mad2::mad2: