Naona mwaweka kikao, natumai mna gahawa na gashata za kutosha yakheeeeee!
Nakupenda wewe Vin Diesel hapana nimegairi...Hakyanani hii ningeiona kabla ya kugundua deal lako na Vin Diesel....
Bazazi umefufuka naona....
A man like him is too much for 1 woman! Dont bite more than you can chew! Just kubali kitwngo chako, if not from your heart CONSIDER IT SERVING YOUR COUNTRY, BEING A PATRIOT AT HEART!
Hahahahaaaaa! Babu mi kikongwe wao najilazimiahia tu kwa Mswati,vitoto vibaya sana hivi jamvi zima wamwmuona Mswati wangu tu! Najikongoja humo humo!
Nakupenda wewe Vin Diesel hapana nimegairi...
Hahahahahaaaaaa! Binti uzee hazina, ukubwa dawa atii! Acha kujifanya cyborg mambo ya kuendesha nchi na umri huo wakati wenzio wako club utayawezea wapi? Policy unazijua? Katiba mpya utaiweza? Strategy una roho ya korosho kuexecute strategy za ushindi? You are too young for this duty! Baby Vin Diesel can you send a girl to do a womans job? Ofcourse not! Eeeeeeh! We kuwa kiburudisho, make him happy ao as he gets us more money! I take care of the spotlight you take care of him in bed and we all keep the fortune, eveeybody is happy! Division of labour at its highest!
Hahaha apa tunamlia timing mkuu wetu Vin Diesel najua kuna.atakayemponyoka tu..being.opportunistic is good for business u.know....
aisee... Samahan mkuu maana naona juna hatari ya kumwagiwa tindikali kisa love humu. Najikalia pembeni
Hahaaaaa! Mi nipo WENGI WAMEACHIA NGAZI NA WENGINE WAMEPANDA MI NASIMAMA PALEPALE! Come January come december, HOE alitakaga hadi kumzalia huyu mswati, sijui iliishia wapi, JIWE KUU NIMETULIA NASUBIRIA KUNSAVE MY COUNTRY!Nini wewe bana ..unajiuliza mwenyewe na kukujibu mwenyewe ....
hebu nipishe nishikilie mie, Subiri uone matokeo utaisoma nr hewani ...
kaa mbali na charminglady....code of conduct izingatiwe
Nadhani unakumbuka biashara yangu na wewe bado hatujaimaliza. na unajua fika we ndo mkwamishaji. najua unajua kuwa mtaji ninao. Haya timizg wajibu wako chapchap kabla sijakuendea kwa sangoma.