Express your love kwa yule unayempenda Jamiiforums

Express your love kwa yule unayempenda Jamiiforums

Naona mwaweka kikao, natumai mna gahawa na gashata za kutosha yakheeeeee!

Hahaha apa tunamlia timing mkuu wetu Vin Diesel najua kuna.atakayemponyoka tu..being.opportunistic is good for business u.know....
 
Last edited by a moderator:
A man like him is too much for 1 woman! Dont bite more than you can chew! Just kubali kitwngo chako, if not from your heart CONSIDER IT SERVING YOUR COUNTRY, BEING A PATRIOT AT HEART!

I think she got your point....dont trouble yourself with lengthy explainations....
 
Hahahahaaaaa! Babu mi kikongwe wao najilazimiahia tu kwa Mswati,vitoto vibaya sana hivi jamvi zima wamwmuona Mswati wangu tu! Najikongoja humo humo!

Nadhani unakumbuka biashara yangu na wewe bado hatujaimaliza. na unajua fika we ndo mkwamishaji. najua unajua kuwa mtaji ninao. Haya timizg wajibu wako chapchap kabla sijakuendea kwa sangoma.
 
Hahahahahaaaaaa! Binti uzee hazina, ukubwa dawa atii! Acha kujifanya cyborg mambo ya kuendesha nchi na umri huo wakati wenzio wako club utayawezea wapi? Policy unazijua? Katiba mpya utaiweza? Strategy una roho ya korosho kuexecute strategy za ushindi? You are too young for this duty! Baby Vin Diesel can you send a girl to do a womans job? Ofcourse not! Eeeeeeh! We kuwa kiburudisho, make him happy ao as he gets us more money! I take care of the spotlight you take care of him in bed and we all keep the fortune, eveeybody is happy! Division of labour at its highest!

Nini wewe bana ..unajiuliza mwenyewe na kukujibu mwenyewe ....

hebu nipishe nishikilie mie, Subiri uone matokeo utaisoma nr hewani ...
 
Nini wewe bana ..unajiuliza mwenyewe na kukujibu mwenyewe ....

hebu nipishe nishikilie mie, Subiri uone matokeo utaisoma nr hewani ...
Hahaaaaa! Mi nipo WENGI WAMEACHIA NGAZI NA WENGINE WAMEPANDA MI NASIMAMA PALEPALE! Come January come december, HOE alitakaga hadi kumzalia huyu mswati, sijui iliishia wapi, JIWE KUU NIMETULIA NASUBIRIA KUNSAVE MY COUNTRY!
 
Nadhani unakumbuka biashara yangu na wewe bado hatujaimaliza. na unajua fika we ndo mkwamishaji. najua unajua kuwa mtaji ninao. Haya timizg wajibu wako chapchap kabla sijakuendea kwa sangoma.

Wewe Asprin, Vin Diesel, na Mentor kwa nini mlitaka kumtoa roho binti wa watu?
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom