Express your love kwa yule unayempenda Jamiiforums

sihitaj kujibu kwani waijua nafasi yako kwangu............
BTW club umeiua ama??

İtaachaje kufa kama wachezaji mmeingia mitini? Hata mechi za maveterani hamtaki. Nyie watu wabaya sana.
 
İtaachaje kufa kama wachezaji mmeingia mitini? Hata mechi za maveterani hamtaki. Nyie watu wabaya sana.

hahhahahhahha.........lol!!!

usjali sana love u mingi sana wangu, ngoja nitafute muda nikusake tukamsalimie cacico
 
Last edited by a moderator:

Sijui ni mimi??? :doh: :doh:
 
Last edited by a moderator:
We jishaue tu. Bila kukaguliwa na babu huna nafasi #teambazazi #. Wenzako wanakuangalia tu.

yaaani safari hii umekutana na mwamba....babu sikaguliki, tena wote kaeni mniangalie navyopepea....



lakini katatizo kakitokea nitakutafuta
 
yaaani safari hii umekutana na mwamba....babu sikaguliki, tena wote kaeni mniangalie navyopepea....



lakini katatizo kakitokea nitakutafuta

Ndo ujue hapo kwa Vin Diesel labda ukubali uwe mchepuko. #Teambazazi # Tuna ushirikiano na uthubutu kama AlShabaab. Huwezi ingia kundini bila ukaguzi wa babu, usije ukawa mamluki wa Uhuru Kenyatta.
 
Last edited by a moderator:
Nimeshamjua,,,,,,,,,,kenya forums ndio kuna wa sampuli unazozitaka?

hapana mkuu,kwanza hakuna demu hata mmoja bali wanaume watupu ndio wanao lifanya jukwaa la KF kuwa active.ningefurahi kama na watoto wa kike nao wawe wanachangia.tupo KF kupangua uzushi,majigambo na mbwembwe za wakenya dhidi ya watz.muulize lawmaina78 atakwambia huwa tunawafanya nini wanapo kuja na mbwembwe zao.CC Kimweri Geza Ulole and Bulldog

back to the topic :umesema umesha mjua?!!!....kama umemjua iwe siri yako mkuu.usije ukamwaga mtama kwenye kuku wengi,au akazidisha mapozi kwangu.si unajua kidemu cha kibongo kikishajua umekipenda kinazidisha mashauzi kukukomoa.
 
Last edited by a moderator:
Sijui ni mimi??? :doh: :doh:

hahaha kama hivo vigezo vichache nilivyoweka hapo juu havikuhusu labda ni wewe....narudia tena labda ni wewe...ila mwenyewe yupo it's unfortunate she has no idea how i love her.masikini mdada yule sijui ni mke wa mtu.lol
 
Asante hakuna wenye wake hapa ....jiachie tu
xiexie ............napenda sana jina laakoooo....

Hahaaaa..naogopa#teambazazi wasije kuniufoo saro buree...hahaa asanteeee mm avatar yako tu..koh koh
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…