sihitaj kujibu kwani waijua nafasi yako kwangu............
BTW club umeiua ama??
Rich Pol ulikua wapi?#Ubazazini ndo nyumbaniHaaah haaah! Ngoja nimtafute mwekundu anipe form nijiunge na #TeamBazaz
rud nyuma uone hubby wangu kasema nani anampenda....nitakumwagia tindikali.Tena usiwaze hata kuwa mchepuko
İtaachaje kufa kama wachezaji mmeingia mitini? Hata mechi za maveterani hamtaki. Nyie watu wabaya sana.
kuna huyu mwanadada,dah! huwa nampenda sana hapa jf japo simjui sura,umri wake,umbile lake,(sijui ni tipwa tipwa,anduje cos sivutiwi na sampuli hiyo),na muonekano wake kwa ujumla.najua hujijui ila kaa ukijua jinga la kupenda kadoda11 linakupenda regardless of the few staffs i've pointed above.kwaherini,narudi zangu kenya forums.
We jishaue tu. Bila kukaguliwa na babu huna nafasi #teambazazi #. Wenzako wanakuangalia tu.
We ride#teambazazi sio mchezo
naona unaitafuta tindikali mkuuu
we endelea tu
nitajie watatu wa kianzio comrade....
hahahaaaa atamalizia mwenyewe cz anajua nini nilitaka kusema
yaaani safari hii umekutana na mwamba....babu sikaguliki, tena wote kaeni mniangalie navyopepea....
lakini katatizo kakitokea nitakutafuta
Nimeshamjua,,,,,,,,,,kenya forums ndio kuna wa sampuli unazozitaka?
Sijui ni mimi??? :doh: :doh:
mi nakufeel sana ru hilo jina sijui natamkaje nipe muongozo lol
Asante hakuna wenye wake hapa ....jiachie tu
xiexie ............napenda sana jina laakoooo....
hahahaaah.....safi sana, nakuja umakondeni muda si mrefu.