miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
hahahah umekimbia kimya kimya kama sio kijanja? kama wako wengi orodhesha tu huhuhuuu
Wewe kwanza chama gani? Naona unatuingilia kikatiba! Watu tupo chamani mda wote wewe uje tu ubebe bakuli la dhahabu ghafla ghafla tukuangalie? Thubutuuuu! Itifaki lazima izingatiwe! Cc@vin diesel
Upendo wa Agape. hahahahaaa....!!!. miaKwani we umeelewa upendo upi jaman?
Upendo wa kijumuia lol!
HAHAHHAH....'' Morg understands, you coulda had class. You coulda been a contender. you coulda been somebody,....... let's face it. You ware just NOT PRIVILEGED TO HAVE Vin Diesel''
Naexpress my love moja kwa moja Kwa barafu, laaziz, honey, sweet, baby, furaha ya moyo wangu kwa my wife Heaven on Earth. mia
Asante kwa kuniambia ms. Chagga nami nakupenda pia.
miss chaga
Tyta utuwache tulalehahah...ya ngoswe ntawaachia.....but someone somewhere..............
Y'all finna turn this into a lover's lane or what?
Naomba kujuzwa haraka sana hapa tunatakiwa tucommentije?
figganigga akirudi hatuhemi humu ndani ngoja tukawatangazeeI love you too babe.........
sijaelewa hapa zinapendwa avatar au ni nini haswa? am confused
Naomba kujuzwa haraka sana hapa tunatakiwa tucommentije?