jumamosi ijayo nitakwenda tena, nilinogewa na mbuzi, uje bana, nitakustua nikiwa nakwenda! Nitambembeleza gfsonwin nayeyou cant be serious, İ know. We si nilikucol back tukashindwa kuskizana sababu ya simu yako mchina. Ntakununulia mpya mupenzi. Mi na wewe tumetoka mbali bhana.
hahahahahah!!! akya mama tena OLESAIDIMU umenifanya nicheke khaaa!!!
love you mingi sana brodah!!
ila Kongosho na King'asti ngoja ni waspee kwanza manake nikisema sana ntaharibu sifa bureeee......nawapenda sanaaaa
Njoo basi tuongee mambo muhimu shemeji yangu mpendwa.
Ndiyo wanaomiliki vifaa vya kukatisha maisha ya watu kama kina ufoo saro. Unae partner kama huyo?!.
bado natafuta kuona wapi ulipotajwa.....
bado naendelea kutafuta kuona wapi ulipotajwa.....
I miss u around....make sure we hook up on the weekend....
usiogope, nakuwekea ulinzi, we nitaje tu
bado naendelea kutafuta kuona wapi ulipotajwa.....
Siku hizi simuoni. alikua ni member wa JF. miambuzi mzee simjui mkuu ndio nani
heshima yako mkuu. miaHivi lakini mkeo hajambo?
Siku hizi simuoni. alikua ni member wa JF. mia
amu usidanganyike na miigizo....nimekumiss asee...last time sijakuona kwenye tukioHongera bana siku hizi umekuwa buzi.
hahahahaha... napita tuu
figganigga njoo utueleweshe.