Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Umeliona taulo? Pazia? Yani kiko disorganized, makorokoro kibao...Yule kweli Mario aliyekubuhu...Vile alivyo anaanzaje kuishi pale? Kwa Dida sawa, nyumba kubwa, organized, safi...ila huku duh...
Dinazarde njoo umkanye mwananzengo mwenzio....
huyo dada ni nani bongo hii?? naona ni maarufu...bongo movie au???
Last edited by a moderator: