Ezden na picha za aibu, nakupa pole

Ezden na picha za aibu, nakupa pole

Dougie.jpg
 
Hapana nakataa,pale hapaoneka fresh sana ila kweeli jamaa kajaliwa,hadi kafunga taulo ila pametuna hahaaaa,halafu sasa haijasimama imetoka kuogeshwa tena maji ya baridi but kitu kipo poa,hope unafahamu dushee likipigwa maji ya baridi linasinyaaa flani hiv sasa mwenye kibamia akioga maji ya baridi ndo huoni kitu kabisa but ya huyu walaaa

Bila shaka we ni edzen kabsa
 
Wanaume hawanaga hiyo ya picha za Aibu, zaidi sana aliyemuweka uchi kamuongezea jamaa umaarufu, halafu video yenyewe nimeona jamaa kajaaliwa kila idara hahaaa ndukiiiiiiiiiii

True dat...cheki Mrisho Ngasa saa hizi anatupia tu kambani kila mechi na wala hana hata habari na kilichowahi kutokea...namshauri na mkuu Edzen kwamba apige kazi kana kwamba hakuna kilichotokea.

Tumeshaona makalio ya kina Silvestre Stalon, Anold Schwarzerzenegga na hamna noma wala nini.
 
Back
Top Bottom