Chetikungu
Member
- May 22, 2018
- 15
- 29
Naenda moja kwa moja kwenye hoja ya msingi,
Hivi umejaribu kutumia hata dakika tano kumsikiliza huyu jamaa anaitwa Ezekia Wenje Mbunge Mstaafu wa CHADEMA wa jimbo moja huko Mwanza, jamaaa anajua na anajua tena. Jamaa akiwa anaongea unaona hadhira wanatulia kama wamemwagiwa maji, anajua jinsi ya kutengeneza hoja na kuitetea anaijua Tanzania vizuri anakupa data anakupa na alternative.
Jamaa alikua Canada kwa kipindi cha miaka miwili nadhani, ameenda kupata exposure kubwa sana na kujifunza mambo mengi, huyu akipewa mikutano akazunguka nchi njima imapact yake ni kubwa sana, ukisikiliza mkutano wake lazima utoke na akili tofauti kabisa.
Kuna haja ya CHADEMA kumtumia vIzuri na ukizingatia chama kimeanza kupokea ruzuku, hivyo wataweza kufanya mikutano mingi ya kutoa elimu ya uraia na kuwafikia wengi zaidi.
Wenje ni asset ya chama anatakiwa kutumika vizuri.
Hivi umejaribu kutumia hata dakika tano kumsikiliza huyu jamaa anaitwa Ezekia Wenje Mbunge Mstaafu wa CHADEMA wa jimbo moja huko Mwanza, jamaaa anajua na anajua tena. Jamaa akiwa anaongea unaona hadhira wanatulia kama wamemwagiwa maji, anajua jinsi ya kutengeneza hoja na kuitetea anaijua Tanzania vizuri anakupa data anakupa na alternative.
Jamaa alikua Canada kwa kipindi cha miaka miwili nadhani, ameenda kupata exposure kubwa sana na kujifunza mambo mengi, huyu akipewa mikutano akazunguka nchi njima imapact yake ni kubwa sana, ukisikiliza mkutano wake lazima utoke na akili tofauti kabisa.
Kuna haja ya CHADEMA kumtumia vIzuri na ukizingatia chama kimeanza kupokea ruzuku, hivyo wataweza kufanya mikutano mingi ya kutoa elimu ya uraia na kuwafikia wengi zaidi.
Wenje ni asset ya chama anatakiwa kutumika vizuri.