Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Ni Mwanasia machachari wa Kanda ya Ziwa aliyewahi kuvuma sana wakati huo.
Ametoa ufafanuzi wa kina na maelezo zaidi kuhusu sida bora za Tumee Huru ya
uchaguzi.
Katika maelezo yake amesema Nchi zote zinazotupatia misaada na zenye maendeleo zina mifumo ya uongozi na utawala bora.
Hivyo viongozi wake wanapatikana ktk mazingira yasiyotia shaka.
Ametoa mifano akizitaja Canada, Ubelgiji na Uingereza.
Aidha mimi mwenyewe sijawahi shuhudia Misaada na huduma za maendeleo kutoka Nchi za Kidikiteta kama China, Urusi ambao wanaleta watu wao kuuza karanga Tanzania badala ya kuleta Teknolojia.
Mtu mmoja aliwahi kusema kuwa Hata miradi ya Afya na Shulez barabara na viwanda hakuna kinachotoka Urusi, China wala Uarabuni.
Miradi ya Dawa za Ukimwi, Malaria, Kichocho, Kifua Kikuu, Shule, barabara hutoka kwa Demokratic and credible leaders huku Dikteta guys wao wakikupa msaada wa kujenga barabara basi hata Boot na nondo wanataka zitoke kwao.
Ametoa ufafanuzi wa kina na maelezo zaidi kuhusu sida bora za Tumee Huru ya
uchaguzi.
Katika maelezo yake amesema Nchi zote zinazotupatia misaada na zenye maendeleo zina mifumo ya uongozi na utawala bora.
Hivyo viongozi wake wanapatikana ktk mazingira yasiyotia shaka.
Ametoa mifano akizitaja Canada, Ubelgiji na Uingereza.
Aidha mimi mwenyewe sijawahi shuhudia Misaada na huduma za maendeleo kutoka Nchi za Kidikiteta kama China, Urusi ambao wanaleta watu wao kuuza karanga Tanzania badala ya kuleta Teknolojia.
Mtu mmoja aliwahi kusema kuwa Hata miradi ya Afya na Shulez barabara na viwanda hakuna kinachotoka Urusi, China wala Uarabuni.
Miradi ya Dawa za Ukimwi, Malaria, Kichocho, Kifua Kikuu, Shule, barabara hutoka kwa Demokratic and credible leaders huku Dikteta guys wao wakikupa msaada wa kujenga barabara basi hata Boot na nondo wanataka zitoke kwao.