Pre GE2025 Ezekia Wenje aibuka baada ya kudaiwa kuitosa CHADEMA: Nimepigana vita vingi, kushinda na kushindwa ni sehemu ya Safari

Pre GE2025 Ezekia Wenje aibuka baada ya kudaiwa kuitosa CHADEMA: Nimepigana vita vingi, kushinda na kushindwa ni sehemu ya Safari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mwanasiasa na aliyekuwa mgombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Ezekia Wenje, ameweka wazi msimamo wake kuhusu siasa za chama hicho baada ya uchaguzi, akisisitiza kuwa bado yuko ndani ya CHADEMA na hana mpango wa kuhama.

Kupitia ujumbe wake X (zamani twitter) Wenje amesema:

"Nimepigana vita vingi maishani. Nyingine nimeshinda, nyingine nimepoteza. Kushinda na kushindwa ni sehemu ya safari. Hizi ramli ni upuuzi tu. Uchaguzi umeisha, na tuko CHADEMA kwa kubaki. Mtasubiri sana hizi porojo."

IMG_2990.jpeg

Kauli hii inakuja wakati ambapo kumekuwepo na taarifa za yeye kuondoka CHADEMA

IMG_2991.jpeg

IMG_2992.jpeg

IMG_2993.jpeg
 
Mwanasiasa na aliyekuwa mgombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Ezekia Wenje, ameweka wazi msimamo wake kuhusu siasa za chama hicho baada ya uchaguzi, akisisitiza kuwa bado yuko ndani ya CHADEMA na hana mpango wa kuhama.

Kupitia ujumbe wake X (zamani twitter) Wenje amesema:

"Nimepigana vita vingi maishani. Nyingine nimeshinda, nyingine nimepoteza. Kushinda na kushindwa ni sehemu ya safari. Hizi ramli ni upuuzi tu. Uchaguzi umeisha, na tuko CHADEMA kwa kubaki. Mtasubiri sana hizi porojo."

View attachment 3228197
Kauli hii inakuja wakati ambapo kumekuwepo na taarifa za yeye kuondoka CHADEMA

View attachment 3228192
View attachment 3228194
View attachment 3228195
Well and fine and congratulations to him,,,..BUT the had truth remains kuwa Lisu and team walifanya kampeni chafu sana...character assassination ya wenzao! UONGO, Hawafai, kesho watafanya lingine kubwa. mimi najitenga NAO but remains a royal chadema follower!
 
Well and fine and congratulations to him,,,..BUT the had truth remains kuwa Lisu and team walifanya kampeni chafu sana...character assassination ya wenzao! UONGO, Hawafai, kesho watafanya lingine kubwa. mimi najitenga NAO but remains a royal chadema follower!
Tuambie kwanza ,ulikuwa nani huko CDM , !
 
Well and fine and congratulations to him,,,..BUT the had truth remains kuwa Lisu and team walifanya kampeni chafu sana...character assassination ya wenzao! UONGO, Hawafai, kesho watafanya lingine kubwa. mimi najitenga NAO but remains a royal chadema follower!
Mzee mwenzangu tukubali tu tumepoteza ila team TAML wasitubagaze wakubali maridhiano ili twende pamoja. Haya mambo ya kulipiziana hata maana! Wakubali kusameheana! Nakubali kampeni zao zilikuwa za kipumbavu sana!
 
Well and fine and congratulations to him,,,..BUT the had truth remains kuwa Lisu and team walifanya kampeni chafu sana...character assassination ya wenzao! UONGO, Hawafai, kesho watafanya lingine kubwa. mimi najitenga NAO but remains a royal chadema follower!
Unakumbuka haya maneno yako ya tarehe 6/8/2024 juu ya Wenje?
SOMA UYAKUMBUKE
Wenye akili tulitegemea anaitisha mkutano kuweka mikakati namna ya kukabiliana na chaguzi zijazo za kitaifa za serikali, kumbe anaitisha mkutano kuwatangazia mahasimu wa Chadema kuwa anagombea madaraka.

Kazi kubwa ya Wenyeviti sasa kwa Chadema ni namna ya kuzikabili chaguzi zijazo za taifa. Yeye mawazo yake, nia na nguvu na mawazo yake ni kupata madaraka !

NAJUA ANA HAKI YA KUTIA NIA NA NDIYO DEMOKRASIA, LAKINI KWA SASA CHADEMA NI KAMA IKO VITANI KWA SHERIA HIZI ZA UCHAGUZI, HALAFU UNALETA MTAFARUKU KWENYE VITA


ACTUALLY NIA OVU KUBWA YAKE NI KUIVURUGA CHADEMA.

Fukuza jitu, liwalo na liwe! Aungane na Msigwa CCM!

Erythrocyte na wote wanaoipenda Chadema na Tanzania iliyo bora
 
Well and fine and congratulations to him,,,..BUT the had truth remains kuwa Lisu and team walifanya kampeni chafu sana...character assassination ya wenzao! UONGO, Hawafai, kesho watafanya lingine kubwa. mimi najitenga NAO but remains a royal chadema follower!
Hata nyie mlifanya character assassination sema hamkuamika na wananchi
 
Safi sana wenje hakuna kuhama chama
Mwanasiasa na aliyekuwa mgombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Ezekia Wenje, ameweka wazi msimamo wake kuhusu siasa za chama hicho baada ya uchaguzi, akisisitiza kuwa bado yuko ndani ya CHADEMA na hana mpango wa kuhama.

Kupitia ujumbe wake X (zamani twitter) Wenje amesema:

"Nimepigana vita vingi maishani. Nyingine nimeshinda, nyingine nimepoteza. Kushinda na kushindwa ni sehemu ya safari. Hizi ramli ni upuuzi tu. Uchaguzi umeisha, na tuko CHADEMA kwa kubaki. Mtasubiri sana hizi porojo."

View attachment 3228197
Kauli hii inakuja wakati ambapo kumekuwepo na taarifa za yeye kuondoka CHADEMA

View attachment 3228192
View attachment 3228194
View attachment 3228195
 
Back
Top Bottom