Pre GE2025 Ezekia Wenje: Siwezi kununa Lissu akiwa Mwenyekiti CHADEMA

Pre GE2025 Ezekia Wenje: Siwezi kununa Lissu akiwa Mwenyekiti CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kanda ya Victoria na Mtia nia wa nafasi ya Umakamu Mwenyekiti wa chama hicho bara Ezekia Wenje akizungumza na wanahabari siku ya Ijumaa Januari 3, 2025 mkoani Mwanza.

Soma, Pia: Wenje awajia juu wanaotukana adai "Tuweke akiba ya maneno"

"Mimi leo nichaguliwe kuwa Makamu Mwenyekiti (CHADEMA) labda Lissu achaguliwe kuwa Mwenyekiti, yaani watu wa CHADEMA wapige kura halafu mimi ninanuna? lazima niangalie ni namna gani tutatengeneza mahusiano ya kufanya kazi pamoja"- Wenje
 
Wakuu

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kanda ya Victoria na Mtia nia wa nafasi ya Umakamu Mwenyekiti wa chama hicho bara Ezekia Wenje akizungumza na wanahabari siku ya Ijumaa Januari 3, 2025 mkoani Mwanza.

Soma, Pia: Wenje awajia juu wanaotukana adai "Tuweke akiba ya maneno"

"Mimi leo nichaguliwe kuwa Makamu Mwenyekiti (CHADEMA) labda Lissu achaguliwe kuwa Mwenyekiti, yaani watu wa CHADEMA wapige kura halafu mimi ninanuna? lazima niangalie ni namna gani tutatengeneza mahusiano ya kufanya kazi pamoja"- Wenje
View attachment 3191359
 
Wakuu

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kanda ya Victoria na Mtia nia wa nafasi ya Umakamu Mwenyekiti wa chama hicho bara Ezekia Wenje akizungumza na wanahabari siku ya Ijumaa Januari 3, 2025 mkoani Mwanza.

Soma, Pia: Wenje awajia juu wanaotukana adai "Tuweke akiba ya maneno"

"Mimi leo nichaguliwe kuwa Makamu Mwenyekiti (CHADEMA) labda Lissu achaguliwe kuwa Mwenyekiti, yaani watu wa CHADEMA wapige kura halafu mimi ninanuna? lazima niangalie ni namna gani tutatengeneza mahusiano ya kufanya kazi pamoja"- Wenje
View attachment 3191359
huyu kijana atakua Makamu mwenyekiti wa chadema Taifa,

sio mtu mbaya,
ni jasiri sana, tulifanya kazi pamoja miaka ya nyuma katika banki moja ya biashara nchini, akaacha kazi ili kwenda kugombea ubunge nyamagana na akapata ubunge huo,

so ni mtu wa kujitolea na kujiamini mno 🐒
 
Wakuu

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kanda ya Victoria na Mtia nia wa nafasi ya Umakamu Mwenyekiti wa chama hicho bara Ezekia Wenje akizungumza na wanahabari siku ya Ijumaa Januari 3, 2025 mkoani Mwanza.

Soma, Pia: Wenje awajia juu wanaotukana adai "Tuweke akiba ya maneno"

"Mimi leo nichaguliwe kuwa Makamu Mwenyekiti (CHADEMA) labda Lissu achaguliwe kuwa Mwenyekiti, yaani watu wa CHADEMA wapige kura halafu mimi ninanuna? lazima niangalie ni namna gani tutatengeneza mahusiano ya kufanya kazi pamoja"- Wenje
View attachment 3191359
Uchaguzi huru na haki Mbowe haiwezekani kuwa mwenyekiti kinachofanyika sasa ni Kamati ya Roho mbaya chini ya mdee Bonface wenje na sugu kutengeneza mazingira ya uchakachuaji kupora ushindi wa Lisu kwa gharama yeyote
 
...tulifanya kazi pamoja.... katika banki moja ya biashara nchini
akaanza kuniombea na mimi, bila kujua kwamba na mimi ni nabii
Mara wee ni nabii unamiliki kanisa lako, mara wee CHAWA mwandamizi unamilikiwa na watu wanaokutuma, mara unafanya kazi benki,

Kwanini machawa mnakuwa waongo hivyo?!!!
 
Mbowe pesa zote alizokwapua chadema miaka yote sasa zinatafunwa na Wajumbe kiulaini, wajumbe wanakula kunywa kuoga kushinda kwa mbowe lakini kulala kwa Lisu, moyoni wanamkubali Lisu na machoni wapo na mbowe kula pesa zao ambazo aliwaibia miaka yote, mbowe sasa amepagawa mbinu zake za kuiba pesa za chama kisha kuzitakatisha kwa visingizio vya eti anarejesha pesa zake alizozikopesha Chama,madeni hewa, Mbowe ni mwizi kama wezi wengine na sasa wizi wake upo bayana hana pa kujificha
 
Mbowe hakuwa kazoea kampeni alizoea kupita bila kupingwa hivyo madhambi yake hayakujulikana, sasa ni kampeni kila baya lake litaanikwa ikiwemo Rushwa za ngono kwa viti maalum na mengineyo mengi ya hovyo
 
Mara wee ni nabii unamiliki kanisa lako, mara wee CHAWA mwandamizi unamilikiwa na watu wanaokutuma, mara unafanya kazi benki,

Kwanini machawa mnakuwa waongo hivyo?!!!
Gentleman unababaika hizo mambo kidogo kidogo 🤣

Yes,
I'm currently an apostle, na silazimishi.

But professional ni mwanasiasa na mwana dipolomasia mwandamizi, mkufunzi, mfugaji na mfanyabashara.

Ezekia Wenje aliaga kazini kwamba anakwenda kugombea ubunge Nyamagana, alieshinda hakushinda?

hii ni kazi ya mwisho tulifanya nae benki check hiyo 🐒
 

Attachments

  • IMG_20250103_134658_8.jpg
    IMG_20250103_134658_8.jpg
    1.1 MB · Views: 5
Back
Top Bottom