Pre GE2025 Ezekia Wenje: Siwezi kununa Lissu akiwa Mwenyekiti CHADEMA

Pre GE2025 Ezekia Wenje: Siwezi kununa Lissu akiwa Mwenyekiti CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wa kanisa gani?
Gentleman,
kwenye mataa ya mwenge pale dar es salaam kuna bango langu, hata hivyo karibu katika kanisa lililo karibu nawe ambapo linahuburiwa neno la Mungu lisilo ghoshiwa,

Na Mungu akubariki sana 🐒
 
huyu kijana atakua Makamu mwenyekiti wa chadema Taifa,

sio mtu mbaya,
ni jasiri sana, tulifanya kazi pamoja miaka ya nyuma katika banki moja ya biashara nchini, akaacha kazi ili kwenda kugombea ubunge nyamagana na akapata ubunge huo,

so ni mtu wa kujitolea na kujiamini mno 🐒
Acha uongo wewe
 
Gentleman,
kwenye mataa ya mwenge pale dar es salaam kuna bango langu, hata hivyo karibu katika kanisa lililo karibu nawe ambapo linahuburiwa neno la Mungu lisilo ghoshiwa,

Na Mungu akubariki sana 🐒
Dogo,
Mbona unarukaruka kama maharagwe jikoni?
Jibu swali kwa usahihi bhana.
Hapo Mwenge ndo njia yangu daily, em funguka
 
Dogo,
Mbona unarukaruka kama maharagwe jikoni?
Em jibu swali kwa usahihi bhana
gentleman,
umekuja jukwaani na majibu yako mfukoni, right?

ni muhimu sana ukaandika uzi mahususi ili hatimae wadau watoe shuhuda na location ya eneo ambalo ninatoa manyunyu ya baraka.

tusiharibu mjadala mahususi wa muungwana 🐒
 
Back
Top Bottom