Pre GE2025 Ezekia Wenje: Siwezi kununa Lissu akiwa Mwenyekiti CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wa kanisa gani?
Gentleman,
kwenye mataa ya mwenge pale dar es salaam kuna bango langu, hata hivyo karibu katika kanisa lililo karibu nawe ambapo linahuburiwa neno la Mungu lisilo ghoshiwa,

Na Mungu akubariki sana πŸ’
 
Acha uongo wewe
 
Gentleman,
kwenye mataa ya mwenge pale dar es salaam kuna bango langu, hata hivyo karibu katika kanisa lililo karibu nawe ambapo linahuburiwa neno la Mungu lisilo ghoshiwa,

Na Mungu akubariki sana πŸ’
Dogo,
Mbona unarukaruka kama maharagwe jikoni?
Jibu swali kwa usahihi bhana.
Hapo Mwenge ndo njia yangu daily, em funguka
 
Dogo,
Mbona unarukaruka kama maharagwe jikoni?
Em jibu swali kwa usahihi bhana
gentleman,
umekuja jukwaani na majibu yako mfukoni, right?

ni muhimu sana ukaandika uzi mahususi ili hatimae wadau watoe shuhuda na location ya eneo ambalo ninatoa manyunyu ya baraka.

tusiharibu mjadala mahususi wa muungwana πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…