Rula ya Mafisadi
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 404
- 852
Si Lissu, Heche Wala Mbowe wote walipata baadhi ya fedha zao toka kwa wadau mbalimbali ikiwemo Viongozi wa CCM,
Hivyo Wenje pia alipata ufadhili hivyo hivyo kwa hiyo kama ni kosa wengi wametenda kosa hilo hivyo asamehewe na kazi iendelee
Mambo ya Uchaguzi yaachwe hivyo hivyo na yabaki kuwa ni Uchaguzi tu
Hivyo Wenje pia alipata ufadhili hivyo hivyo kwa hiyo kama ni kosa wengi wametenda kosa hilo hivyo asamehewe na kazi iendelee
Mambo ya Uchaguzi yaachwe hivyo hivyo na yabaki kuwa ni Uchaguzi tu