LGE2024 Ezekiah Wenje: Siasa sio ya Kubembeleza, CCM tutaenda nao Mperampera. Ukishapiga kura linda kura

LGE2024 Ezekiah Wenje: Siasa sio ya Kubembeleza, CCM tutaenda nao Mperampera. Ukishapiga kura linda kura

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
*Walisema chadema wqnachelesha maendeleo. Kuanzia Rqis hadi balozi sasa wote ni CCM, Maendeleo yapo wapi?

*Siku ya kupiga kura, piga kura, nenda kale rudi kuweka kambi kwenye kituo. Kanuni haijasema piha kura uende nyumbani ukalsle

*Hatuwezi kukubali muwe mnatuibia kura halafu tupeane maji kwrnye nzengo, tutananii

*Walipoengua Wagombea wetu, tuyaenda kwa Wingi kuoiga kura za hapana

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria, Ezekiah Wenje amesema licha ya idadi kubwa (bila kutaja idadi) ya wagombea wa chama hicho kuenguliwa, Chadema itahakikisha waliopitishwa wanashinda.

“Leo (jana) tumefungua kampeni kila mahali katika kanda yetu, mimi nimefanya mikutano katika kata nane za Jiji la Mwanza, tutaendelea kuwanadi wagombea wetu kila mahali hadi nyumba kwa nyumba,” amesema Wenje.

Kuhusiana na maeneo ambayo hakuna wagombea wa Chadema, Wenje amesema wagombea wa chama hicho watahamasisha wagombea wa vyama vingine kupiga kura ya hapana kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi huo.

Katibu Mkuu wa Chadema, Kanda ya Magharibi, Meshack Micus amesema chama chake kimezindua kampeni kwenye wilaya tatu ambazo ni Urambo, Igunga pamoja na Sikonge, huku wilaya nyingine wakitarajia kufanya uzinduzi baada ya Novemba 20, 2024.
 
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria, Ezekiah Wenje amesema licha ya idadi kubwa (bila kutaja idadi) ya wagombea wa chama hicho kuenguliwa, Chadema itahakikisha waliopitishwa wanashinda.
View attachment 3157293
“Leo (jana) tumefungua kampeni kila mahali katika kanda yetu, mimi nimefanya mikutano katika kata nane za Jiji la Mwanza, tutaendelea kuwanadi wagombea wetu kila mahali hadi nyumba kwa nyumba,” amesema Wenje.

Kuhusiana na maeneo ambayo hakuna wagombea wa Chadema, Wenje amesema wagombea wa chama hicho watahamasisha wagombea wa vyama vingine kupiga kura ya hapana kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi huo.

Katibu Mkuu wa Chadema, Kanda ya Magharibi, Meshack Micus amesema chama chake kimezindua kampeni kwenye wilaya tatu ambazo ni Urambo, Igunga pamoja na Sikonge, huku wilaya nyingine wakitarajia kufanya uzinduzi baada ya Novemba 20, 2024.
Well said,issue hapa, my big concern ni polisi......tunawakabiri vipi?
 
Wamefanikiwa kurudisha wagombea waliokatwa?.
Kama ndiyo ulinzi uendelee, kama siyo watalinda nini?
 
Wenje nae si ninkalllll
*Walisema chadema wqnachelesha maendeleo. Kuanzia Rqis hadi balozi sasa wote ni CCM, Maendeleo yapo wapi?

*Siku ya kupiga kura, piga kura, nenda kale rudi kuweka kambi kwenye kituo. Kanuni haijasema piha kura uende nyumbani ukalsle

*Hatuwezi kukubali muwe mnatuibia kura halafu tupeane maji kwrnye nzengo, tutananii

*Walipoengua Wagombea wetu, tuyaenda kwa Wingi kuoiga kura za hapana

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria, Ezekiah Wenje amesema licha ya idadi kubwa (bila kutaja idadi) ya wagombea wa chama hicho kuenguliwa, Chadema itahakikisha waliopitishwa wanashinda.
View attachment 3157293
“Leo (jana) tumefungua kampeni kila mahali katika kanda yetu, mimi nimefanya mikutano katika kata nane za Jiji la Mwanza, tutaendelea kuwanadi wagombea wetu kila mahali hadi nyumba kwa nyumba,” amesema Wenje.

Kuhusiana na maeneo ambayo hakuna wagombea wa Chadema, Wenje amesema wagombea wa chama hicho watahamasisha wagombea wa vyama vingine kupiga kura ya hapana kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi huo.

Katibu Mkuu wa Chadema, Kanda ya Magharibi, Meshack Micus amesema chama chake kimezindua kampeni kwenye wilaya tatu ambazo ni Urambo, Igunga pamoja na Sikonge, huku wilaya nyingine wakitarajia kufanya uzinduzi baada ya Novemba 20, 2024.
Wenje nae alikimbiaga Ummande
 
*Walisema chadema wqnachelesha maendeleo. Kuanzia Rqis hadi balozi sasa wote ni CCM, Maendeleo yapo wapi?

*Siku ya kupiga kura, piga kura, nenda kale rudi kuweka kambi kwenye kituo. Kanuni haijasema piha kura uende nyumbani ukalsle

*Hatuwezi kukubali muwe mnatuibia kura halafu tupeane maji kwrnye nzengo, tutananii

*Walipoengua Wagombea wetu, tuyaenda kwa Wingi kuoiga kura za hapana

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria, Ezekiah Wenje amesema licha ya idadi kubwa (bila kutaja idadi) ya wagombea wa chama hicho kuenguliwa, Chadema itahakikisha waliopitishwa wanashinda.
View attachment 3157293
“Leo (jana) tumefungua kampeni kila mahali katika kanda yetu, mimi nimefanya mikutano katika kata nane za Jiji la Mwanza, tutaendelea kuwanadi wagombea wetu kila mahali hadi nyumba kwa nyumba,” amesema Wenje.

Kuhusiana na maeneo ambayo hakuna wagombea wa Chadema, Wenje amesema wagombea wa chama hicho watahamasisha wagombea wa vyama vingine kupiga kura ya hapana kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi huo.

Katibu Mkuu wa Chadema, Kanda ya Magharibi, Meshack Micus amesema chama chake kimezindua kampeni kwenye wilaya tatu ambazo ni Urambo, Igunga pamoja na Sikonge, huku wilaya nyingine wakitarajia kufanya uzinduzi baada ya Novemba 20, 2024.
Haitasaidia kitu
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1 (1).png
    420.8 KB · Views: 1
  • 20240907_095744 (1).jpg
    20240907_095744 (1).jpg
    116.1 KB · Views: 2
  • IMG-20200726-WA0000.jpg
    IMG-20200726-WA0000.jpg
    43.7 KB · Views: 2
  • 5810871-156c33252d331784831e630b50148deb.mp4
    2 MB
  • 5811523-6041f5af6e2b5c7600d07027005d6658.mp4
    3.7 MB
*Walisema chadema wqnachelesha maendeleo. Kuanzia Rqis hadi balozi sasa wote ni CCM, Maendeleo yapo wapi?

*Siku ya kupiga kura, piga kura, nenda kale rudi kuweka kambi kwenye kituo. Kanuni haijasema piha kura uende nyumbani ukalsle

*Hatuwezi kukubali muwe mnatuibia kura halafu tupeane maji kwrnye nzengo, tutananii

*Walipoengua Wagombea wetu, tuyaenda kwa Wingi kuoiga kura za hapana

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria, Ezekiah Wenje amesema licha ya idadi kubwa (bila kutaja idadi) ya wagombea wa chama hicho kuenguliwa, Chadema itahakikisha waliopitishwa wanashinda.
View attachment 3157293
“Leo (jana) tumefungua kampeni kila mahali katika kanda yetu, mimi nimefanya mikutano katika kata nane za Jiji la Mwanza, tutaendelea kuwanadi wagombea wetu kila mahali hadi nyumba kwa nyumba,” amesema Wenje.

Kuhusiana na maeneo ambayo hakuna wagombea wa Chadema, Wenje amesema wagombea wa chama hicho watahamasisha wagombea wa vyama vingine kupiga kura ya hapana kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi huo.

Katibu Mkuu wa Chadema, Kanda ya Magharibi, Meshack Micus amesema chama chake kimezindua kampeni kwenye wilaya tatu ambazo ni Urambo, Igunga pamoja na Sikonge, huku wilaya nyingine wakitarajia kufanya uzinduzi baada ya Novemba 20, 2024.
hao wapigakura wenyewe wanawaona kama mataahira tu yaani uache kazi zako kwenda kupiga kura ya hapana yaani mmeishiwa sera
 
Wenje ni nani?sijawahi kumsikia
Kumbe ndo mana huna facts hata wenje wa juzi tu hujawahi kumsikia je tukikwambia fundikira, mapalala, masumbuko lamwai,mabere nyaucho marandu etc utawajua kweli wewe chawa wa kijani wa juzi
 
*Walisema chadema wqnachelesha maendeleo. Kuanzia Rqis hadi balozi sasa wote ni CCM, Maendeleo yapo wapi?

*Siku ya kupiga kura, piga kura, nenda kale rudi kuweka kambi kwenye kituo. Kanuni haijasema piha kura uende nyumbani ukalsle

*Hatuwezi kukubali muwe mnatuibia kura halafu tupeane maji kwrnye nzengo, tutananii

*Walipoengua Wagombea wetu, tuyaenda kwa Wingi kuoiga kura za hapana

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Victoria, Ezekiah Wenje amesema licha ya idadi kubwa (bila kutaja idadi) ya wagombea wa chama hicho kuenguliwa, Chadema itahakikisha waliopitishwa wanashinda.
View attachment 3157293
“Leo (jana) tumefungua kampeni kila mahali katika kanda yetu, mimi nimefanya mikutano katika kata nane za Jiji la Mwanza, tutaendelea kuwanadi wagombea wetu kila mahali hadi nyumba kwa nyumba,” amesema Wenje.

Kuhusiana na maeneo ambayo hakuna wagombea wa Chadema, Wenje amesema wagombea wa chama hicho watahamasisha wagombea wa vyama vingine kupiga kura ya hapana kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi huo.

Katibu Mkuu wa Chadema, Kanda ya Magharibi, Meshack Micus amesema chama chake kimezindua kampeni kwenye wilaya tatu ambazo ni Urambo, Igunga pamoja na Sikonge, huku wilaya nyingine wakitarajia kufanya uzinduzi baada ya Novemba 20, 2024.
Mikwara tuu hakuna lolote, mkiitisha maàndamano anaenda Mbowe pekee yake. Chama kilishajifia hicho.
 
Kumbe ndo mana huna facts hata wenje wa juzi tu hujawahi kumsikia je tukikwambia fundikira, mapalala, masumbuko lamwai,mabere nyaucho marandu etc utawajua kweli wewe chawa wa kijani wa juzi
🤣 🤣 🤣
 
hao wapigakura wenyewe wanawaona kama mataahira tu yaani uache kazi zako kwenda kupiga kura ya hapana yaani mmeishiwa sera
Mkuu habari njema ni kwamba hakuna anaye pendelewa kwenye malipo ya gharama za maisha!!!

Mkuu uwe chama tawala, upinzani au upoponi kwa mangi tunaongea lugha moja!!!
 
Back
Top Bottom