The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Kwa tunaomjua Ezekiel Kamwaga ni Simba damu na ameshafanya kazi hadi za kujitolea pesa yake mifukoni enzi hizo hakuna cha Mo wala nani.
Kashafanya kazi hadi ya kuwa Kaimu katibu Mkuu, watu wakiwa hakuna timu haina hela.
Wengine watakaokuja kumuita msaliti huko baadae hata Dar hawaijui wanaisikia kwa Radio.
Nimeweka hii thread kama kumbukumbu huko baadae maana yake tofauti kidogo tu za kimtazamo tunakuja kuita watu wasaliti wakati watu hao wanajitolea sana.
Na hao midomo juu kuita watu wasaliti hata mtaa wa msimbazi hawaujui ulipo.
Thread for future use..
Kashafanya kazi hadi ya kuwa Kaimu katibu Mkuu, watu wakiwa hakuna timu haina hela.
Wengine watakaokuja kumuita msaliti huko baadae hata Dar hawaijui wanaisikia kwa Radio.
Nimeweka hii thread kama kumbukumbu huko baadae maana yake tofauti kidogo tu za kimtazamo tunakuja kuita watu wasaliti wakati watu hao wanajitolea sana.
Na hao midomo juu kuita watu wasaliti hata mtaa wa msimbazi hawaujui ulipo.
Thread for future use..