Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatujakataa kama itakuepo ishu ni vibe la manara la kuhamasisha mashabiki lilikua la kipekee,Simba ilikuwepo hata kabla ya Manara na itaendelea kuwepo,club itaendelea kuwepo na hata baada ya MO au Manara!
Uwiiiii,miaka ya 2000?how i wish you knew me,ungestaajabu!😂😂😂😂😂Milleniars mnashida sana. Wewe umezaliwa miaka ya 2000s kama unampenda sana manara nenda kaishi naye.
Kama Gwajima ameweza kuwasaliti kina Mbowe na kuwa mshkaji wa Bashite na Kadiinali Pengo basi hakika hakuna kinachoshindikana kwenye dunia ya usaliti....Mkui bila kumsiliba Mo uzi wako wa Sports unakuwa haujakamilika?
Naona umeweka msisitizo 😂😂😂😂Thread for future use..
No way.... Mbona pale umeandika kama ka kijana ka miaka 10s na early 20s? Mi nafahamu wanasimba wa miaka ya nyuma wapo smart sana na wanataka club iendeshwe kisasa. Wanaipenda Simba na si mtu aliyeko Simba. Au ndo kusema na ninyi pia huwa mnazeeka?Uwiiiii,miaka ya 2000?how i wish you knew me,ungestaajabu!😂😂😂😂😂
Inawezekana Ezekiel Kamwaga ni ww mwenyewe.......manake jf ni ya ajabu kweliKwa tunaomjua Ezekiel Kamwaga ni Simba damu na ameshafanya kazi hadi za kujitolea pesa yake mifukoni enzi hizo hakuna cha Mo wala nani.
Kashafanya kazi hadi ya kuwa Kaimu katibu Mkuu, watu wakiwa hakuna timu haina hela.
Wengine watakaokuja kumuita msaliti huko baadae hata Dar hawaijui wanaisikia kwa Radio.
Nimeweka hii thread kama kumbukumbu huko baadae maana yake tofauti kidogo tu za kimtazamo tunakuja kuita watu wasaliti wakati watu hao wanajitolea sana.
Na hao midomo juu kuita watu wasaliti hata mtaa wa msimbazi hawaujui ulipo.
Thread for future use..
Bosi, unajua kitu inaitwa "infiltration" or "mole" kwenye espionage?Kwa tunaomjua Ezekiel Kamwaga ni Simba damu na ameshafanya kazi hadi za kujitolea pesa yake mifukoni enzi hizo hakuna cha Mo wala nani.
Kashafanya kazi hadi ya kuwa Kaimu katibu Mkuu, watu wakiwa hakuna timu haina hela.
Wengine watakaokuja kumuita msaliti huko baadae hata Dar hawaijui wanaisikia kwa Radio.
Nimeweka hii thread kama kumbukumbu huko baadae maana yake tofauti kidogo tu za kimtazamo tunakuja kuita watu wasaliti wakati watu hao wanajitolea sana.
Na hao midomo juu kuita watu wasaliti hata mtaa wa msimbazi hawaujui ulipo.
Thread for future use..
Nakwambia hivi ungenijua usingeandika hivo,No way.... Mbona pale umeandika kama ka kijana ka miaka 10s na early 20s? Mi nafahamu wanasimba wa miaka ya nyuma wapo smart sana na wanataka club iendeshwe kisasa. Wanaipenda Simba na si mtu aliyeko Simba. Au ndo kusema na ninyi pia huwa mnazeeka?