Ezekiel Kamwaga ni Simba damu!

Ezekiel Kamwaga ni Simba damu!

Simba ilikuwepo hata kabla ya Manara na itaendelea kuwepo,club itaendelea kuwepo na hata baada ya MO au Manara!
Hatujakataa kama itakuepo ishu ni vibe la manara la kuhamasisha mashabiki lilikua la kipekee,
 
Uwiiiii,miaka ya 2000?how i wish you knew me,ungestaajabu!😂😂😂😂😂
No way.... Mbona pale umeandika kama ka kijana ka miaka 10s na early 20s? Mi nafahamu wanasimba wa miaka ya nyuma wapo smart sana na wanataka club iendeshwe kisasa. Wanaipenda Simba na si mtu aliyeko Simba. Au ndo kusema na ninyi pia huwa mnazeeka?
 
Kwa tunaomjua Ezekiel Kamwaga ni Simba damu na ameshafanya kazi hadi za kujitolea pesa yake mifukoni enzi hizo hakuna cha Mo wala nani.

Kashafanya kazi hadi ya kuwa Kaimu katibu Mkuu, watu wakiwa hakuna timu haina hela.

Wengine watakaokuja kumuita msaliti huko baadae hata Dar hawaijui wanaisikia kwa Radio.

Nimeweka hii thread kama kumbukumbu huko baadae maana yake tofauti kidogo tu za kimtazamo tunakuja kuita watu wasaliti wakati watu hao wanajitolea sana.

Na hao midomo juu kuita watu wasaliti hata mtaa wa msimbazi hawaujui ulipo.

Thread for future use..
Inawezekana Ezekiel Kamwaga ni ww mwenyewe.......manake jf ni ya ajabu kweli
 
Kwa tunaomjua Ezekiel Kamwaga ni Simba damu na ameshafanya kazi hadi za kujitolea pesa yake mifukoni enzi hizo hakuna cha Mo wala nani.

Kashafanya kazi hadi ya kuwa Kaimu katibu Mkuu, watu wakiwa hakuna timu haina hela.

Wengine watakaokuja kumuita msaliti huko baadae hata Dar hawaijui wanaisikia kwa Radio.

Nimeweka hii thread kama kumbukumbu huko baadae maana yake tofauti kidogo tu za kimtazamo tunakuja kuita watu wasaliti wakati watu hao wanajitolea sana.

Na hao midomo juu kuita watu wasaliti hata mtaa wa msimbazi hawaujui ulipo.

Thread for future use..
Bosi, unajua kitu inaitwa "infiltration" or "mole" kwenye espionage?
 
No way.... Mbona pale umeandika kama ka kijana ka miaka 10s na early 20s? Mi nafahamu wanasimba wa miaka ya nyuma wapo smart sana na wanataka club iendeshwe kisasa. Wanaipenda Simba na si mtu aliyeko Simba. Au ndo kusema na ninyi pia huwa mnazeeka?
Nakwambia hivi ungenijua usingeandika hivo,
Sema ndo hivo tena tuko hapa jf😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom