Unaamini watu wote wanaoitwa wasaliti wasaliti kweli?Mkuu Past Deeds zinakupa Kinga ya Future Deeds za kufanya chochote kile ?
Yaani usihukumiwe kwa utakachofanya kesho sababu leo ulikuwa vizuri ?, Nadhani ustaarabu ni kuhukumu watu kwa kila kitokeacho hapo hapo, vilevile football na vitu vya wengi ni mambo ya passion, you have to take the rough with the smooth...
Hapana wengi sio wasaliti kwanza nadhani wasaliti walikuwepo enzi za vita baridi au vita ambapo mtu anajifanya rafiki kumbe anakuunguza ndani kwa ndani.Unaamini watu wote wanaoitwa wasaliti wasaliti kweli?
Manara vile viatu vilikuwa vinamtosha barabara au kama vipi wampe position ya mwana-propaganda wa timu..., anyway anaweza akawa mpenzi mtazamaji kama watazamaji wengine walivyoPamoja na yoteee hayo simba wamezingua kutuondelea manara
Yani tumepigwa kweupe
King'amuzi chenu kimenyofolewaPamoja na yoteee hayo simba wamezingua kutuondelea manara
Yani tumepigwa kweupe
Kwani huko Utopolo nafasi zimekwisha?Manara vile viatu vilikuwa vinamtosha barabara au kama vipi wampe position ya mwana-propaganda wa timu..., anyway anaweza akawa mpenzi mtazamaji kama watazamaji wengine walivyo
Ni Mshabiki wa Yanga ?, Sio lazima uwe shabiki wa timu husika kutambua mchango wa mtu katika soka au tasnia husika..., na jamaa alikuwa chachu katika Soka la Tanzania, ndio maana hata hapa anaongelewaKwani huko Utopolo nafasi zimekwisha?
Na wewe unaamini watu wote wasioitwa wasaliti si wasaliti kweli?Unaamini watu wote wanaoitwa wasaliti wasaliti kweli?
Awe mtazamaji tu..sis wengine tulikuwa tunahitaji msemaji mwenye akili na elimu. Huyu roporopo hatukumtaka nafurahi hilo limetimia. Wanaomtaka wamfuate huko aliko.Manara vile viatu vilikuwa vinamtosha barabara au kama vipi wampe position ya mwana-propaganda wa timu..., anyway anaweza akawa mpenzi mtazamaji kama watazamaji wengine walivyo
Milleniars mnashida sana. Wewe umezaliwa miaka ya 2000s kama unampenda sana manara nenda kaishi naye.Pamoja na yoteee hayo simba wamezingua kutuondelea manara
Yani tumepigwa kweupe
Simba ilikuwepo hata kabla ya Manara na itaendelea kuwepo,club itaendelea kuwepo na hata baada ya MO au Manara!Pamoja na yoteee hayo simba wamezingua kutuondelea manara
Yani tumepigwa kweupe
Tatizo alikuja kuharibu mwishoni,alilewa sifa kiasi akawa very unprofessional. Alikuwa na vimeo vingi uongozi ulikuwa unamvumilia tu, yeye akiwa mwandishi wa habari lakini always anagombana na waandishi wa habari tena kwa lugha za kihuni kiasi alikuwa anaichafua brand ya Simba ambayo alishiriki kuiinua.Ni Mshabiki wa Yanga ?, Sio lazima uwe shabiki wa timu husika kutambua mchango wa mtu katika soka au tasnia husika..., na jamaa alikuwa chachu katika Soka la Tanzania, ndio maana hata hapa anaongelewa