mwenzenu mimi kama mmwalimu naonaaibu kuangalia bunge kutokana na michango mibovu inayotolew na mwalimu mwenzangu olochu katika kikao cha bunge.kweli inaniuma kama yy n mwakilishi wetu wa chama cha walimu sidhani kama walimu tutaweza pata haki zetu katika katiba mpya.
Weka picha
Mwenzenu mimi kama Mwalimu naona aibu kuangalia Bunge kutokana na michango mibovu inayotolewa na mwalimu mwenzangu Olochu katika kikao cha bunge. Kweli inaniuma kama yeye ni mwakilishi wetu wa chama cha walimu sidhani kama walimu tutaweza pata haki zetu katika katiba mpya.
No jamaa mbona yuko poa sana, na mi points kibao yenye facts tatizo anajisahau tu mpaka anaonekana anaboa ni muda tu atatembea poa....
Mwalimu huyu ni kuji control tu but ni poa sana.
Kivipi? Mbona mie naona anachangia vyema tu? Ila nahisi ajaifahamu vyema sheria ya mabadiliko ya katiba.
Huyu Ezekiel nilidhani ni mwanasheria kwa sababu anazungumza kwa umakini, na kuonyesha kuwa anaelewa vizuri masuala ya sheria
No jamaa mbona yuko poa sana, na mi points kibao yenye facts tatizo anajisahau tu mpaka anaonekana anaboa ni muda tu atatembea poa....
Mwalimu huyu ni kuji control tu but ni poa sana.