Kakukebola
Member
- Apr 21, 2023
- 59
- 109
Naskia wamepiga 12 Bilion kutoka kwa Abdul. Wenje, Mbowe na Sugu2 Billion.
Umewa vyemaHakuna faida hapo ,chama kinajichuja ,wanafiki wanatoka wanabaki watu sahihi kwa mapambano...Ma-snitch wanaondoka wote.
Chadema wameamua kuteka media na wameweza.Wakuu
Mjumbe wa Kamati Kuu na Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Victoria, ambaye pia ni Mtia Nia wa Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, Ezekiel Wenje, anazungumza muda huu na Waandishi wa Habari.
Aliyoyazungumza Ezekiel Wenje
"Marafiki zangu wote, Lissu, Lema, Heche, wote wamekiri kwa nyakati tofauti kwamba mimi nilikuwa timu Lissu. Hata leo nimemsikia Tundu Lissu akiwa Clouds akisema, 'Nilipoona watu wameanza kushughulikiwa, mimi nikapiga u-turn (360) nikakimbia.' Nimemsikia akisema, 'Sasa na uongo umekuwa mwingi sana.'"
Chadema kwa sasa ni vioja vitupu...Wakuu
Mjumbe wa Kamati Kuu na Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Victoria, ambaye pia ni Mtia Nia wa Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, Ezekiel Wenje, anazungumza muda huu na Waandishi wa Habari.
Aliyoyazungumza Ezekiel Wenje
"Marafiki zangu wote, Lissu, Lema, Heche, wote wamekiri kwa nyakati tofauti kwamba mimi nilikuwa timu Lissu. Hata leo nimemsikia Tundu Lissu akiwa Clouds akisema, 'Nilipoona watu wameanza kushughulikiwa, mimi nikapiga u-turn (360) nikakimbia.' Nimemsikia akisema, 'Sasa na uongo umekuwa mwingi sana.'"
Hamna kitu hapaWakuu
Mjumbe wa Kamati Kuu na Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Victoria, ambaye pia ni Mtia Nia wa Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, Ezekiel Wenje, anazungumza muda huu na Waandishi wa Habari.
Aliyoyazungumza Ezekiel Wenje
"Marafiki zangu wote, Lissu, Lema, Heche, wote wamekiri kwa nyakati tofauti kwamba mimi nilikuwa timu Lissu. Hata leo nimemsikia Tundu Lissu akiwa Clouds akisema, 'Nilipoona watu wameanza kushughulikiwa, mimi nikapiga u-turn (360) nikakimbia.' Nimemsikia akisema, 'Sasa na uongo umekuwa mwingi sana.'"
Atapewa kwa kupata kura nyingi.Lissu hapewi chama
Lisu anaweza ipeleka chadema ikuluHivi kuna tofauti itatokea kwenye chama endapo Lissu atashika madaraka?
Yani unampiga mtu ngumi halafu unamzuia kulia? Huyo Lema zimo kichwani kweli?Lema alisema Timu Mbowe wakimjibu atafunguka zaidi🐼
😂😂😂Anaongea ka Juma Lokole.
Na wewe umeambiwa na nani? Marehemu?Mtaje aliyekuambia?Au wewe umesikia tu.Huu ujinga wa kuzua umeanza kwa viongozi mpaka vikaragosi.Inasikitisha.Chadema imegeuka kundi la kuzua na kusutana.Naskia wamepiga 12 Bilion kutoka kwa Abdul. Wenje, Mbowe na Sugu
Hizi pesa Abdul anapata nini kutoka Chadema mpaka atowe pesa zote hizi?Naskia wamepiga 12 Bilion kutoka kwa Abdul. Wenje, Mbowe na Sugu
Mimi namuamini.Nani amuamini Wenje ambae ni Project ya Serikali?.