FA Community Shield: Chelsea vs Man UTD

FA Community Shield: Chelsea vs Man UTD

aah kumbe arsenal leo mmetushangilia Man U,kweli maajabu!..ha ha
nimekumbuka ile mechi, lol!..bado nyie ELP ikianza, mpewe vichapoo..he he he

hatukuwashangilia tulikuwa tunatoa updates za game tu manake longtime si unajua tena lol.
 
mkuu inawezekana ukawa best team lakini bado unahitaji deffenders na kipa....huwezi ukalinganisha Chelsea na Arsenal...all in all, preseason imeanza vibaya...full time...3 - 1

OK chief, kama hiyo ndio definition ya best team, then there are a lot of best teams in England.
 
...ha ha, haya basi. Hongereni sana japo mnh, Chelsea ni misiba mfululizo!
Aaah! Tunaondoa pepo mbaya wa kufungwa kabla hatujaanza ligi. It's just a new strategy to win a treble!:tongue::tongue:
 
aah kumbe arsenal leo mmetushangilia Man U,kweli maajabu!..ha ha
nimekumbuka ile mechi, lol!..bado nyie ELP ikianza, mpewe vichapoo..he he he
...nitashangilia team yeyote itayocheza na Chelsea.
 
aah kumbe arsenal leo mmetushangilia Man U,kweli maajabu!..ha ha
nimekumbuka ile mechi, lol!..bado nyie ELP ikianza, mpewe vichapoo..he he he

Lazima Fat Arse wawashangilie Manure, si unajua tena wamefunikwa vibaya ndani ya London na The Mighty Blues....lol....the only option wanayo ni kushangilia team za mashambani kama Manure na Loserpool.
 
...nitashangilia team yeyote itayocheza na Chelsea.

Mkuu uliona matokeo ya mechi ya jana? Tulicheza sijui na Kikwajuni hile ni aibu tupu.kama wenger alipata usingizi jana basi atakuwa kaichoka Arsenal na namshangaa anatangaza nia ya kuongeza mkataba wakati hataki kurekebisha nafasi zenye upungufu.
 
Mkuu uliona matokeo ya mechi ya jana? Tulicheza sijui na Kikwajuni hile ni aibu tupu.kama wenger alipata usingizi jana basi atakuwa kaichoka Arsenal na namshangaa anatangaza nia ya kuongeza mkataba wakati hataki kurekebisha nafasi zenye upungufu.

Bora wewe unaona ukweli ulivyo, sio Baba Mkubwa anajaribu kutudanganya mchana kweupe kwamba Arsenal is the best team!!
 
Kwi kwi kwi Baba kakataa kutoa fweza za mboga kwi kwi kwi ....Khe khe khe... .. Stutturidge cach cole drog the bar kwi kwi JT alisahau kubugia unga kwi kwi kwi ehheeee machozi kwi kwi ehhh.
 
_48654881_hern_reuters.jpg


Sucker punch ... ....
 
Arsenal hamna kitu.....msijidanganye,pl mwaka huu kama kawa chelsea na man utd ndio watapambana wengine wasindikizaji tu.......
 
Back
Top Bottom