FA Cup final 2023; Wembley stadium, Man City Vs Man united

FA Cup final 2023; Wembley stadium, Man City Vs Man united

Kipindi cha pili kimeanza hapa. Hakuna mabadiliko yaliyofanyika.
 
Man city wanaweka bao la pili hapa. Mfungaji ni yule yule na staili ni ile ile. Akipiga shuti nje ya 18. Gundogan anaweka mpira kimiani dk ya 51
 
Muda wowote kuanzia sasa refa atamaliza huu mtanange.
 
Kona ya mwisho hapa inaenda kupigwa na man city
 
Mpira umekwisha. Man city ndo mabingwa wa FA 2023.

Hongera sana kwao.

Sasa wanaenda kuitafuta fainali ya UCL.
 
Man City bingwa baada ya kuichabanga Man United 2-0. Man United aliyewaua ni kipa wao David De Gea ambaye ameshindwa kuzuia mashuti ya mbali.

De Gea ameshachoka Man United inatakiwa watafute kipa mwingine na kwa hii timu hata Uefa hawawezi kufika mbali.
 
Screenshot 2023-06-03 at 21.31.09.png
 
Back
Top Bottom