FA CUP : Mechi Kati Ya Manchester United Vs Fulham Fc yasimama Ili Mchezaji afuturu

FA CUP : Mechi Kati Ya Manchester United Vs Fulham Fc yasimama Ili Mchezaji afuturu

magnifico

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2013
Posts
11,075
Reaction score
24,634
Leo katika mchezo wa mwisho wa kombe la FA mwamuzi alisimamisha mchezo kwa dakika kadhaa ili kuruhusu mchezaji wa Manchester United Noussair Mazraoui aweze kufuturu.

My Take : Dunia ingekuwa sehemu salama kama wote tungeishi kwa kupendana hivi pasi kujali imani zetu, dini zetu. Leo Noussair Mazraoui na Mo Salah wanatendewa mema na watu wasio Waislamu kesho wanawatakia kheri ya Christmass wewe muumini unakasirika unaenda kumlaani kwenye ukurasa wake.

Hivi mnajisikiaje Watu wa imani mbalimbali wanapowatakia heri ya mfungo mwema wa Ramadhan na mnazipokea vizuri tu lakini kwenu akitokea muumini mmoja akamtakia heri ya sikukuu hata Msabato anaonekana ameasi? Hamuoni kama huo ni ubinafsi? TUPENDANE NDUGU ZANGU.
481336882_626717333331464_3193893427447872045_n.jpg
 
Unajua najaribu kuwaza enzi tunacheza soka la shuleni, kwakweli ukiwa na njaa unatetemeka. Sasa hawa wachezaji wa soka la ushindani hawajala wala kunywa tangu asubuhi, jioni mechi ndiyo hapo nina mashaka!
Hujui dini huna imani tulia ww kula usishibe sana sijui kwa parameter zipi zinazokufanya ujue fukushima sana
 
Unajua najaribu kuwaza enzi tunacheza soka la shuleni, kwakweli ukiwa na njaa unatetemeka. Sasa hawa wachezaji wa soka la ushindani hawajala wala kunywa tangu asubuhi, jioni mechi ndiyo hapo nina mashaka!
Mzee watu wanafunga na kucheza mpira jioni vizuri tu tena wa ushindani wewe umecheza utotoni kipindi ambacho ni ngumu kwa mtoto kuweza kuvumilia njaa, ila tumecheza mashindano tukiwa tumefunga vizuri tu ni imani yako iwe imeshiba
 
Leo katika mchezo wa mwisho wa kombe la FA mwamuzi alisimamisha mchezo kwa dakika kadhaa ili kuruhusu mchezaji wa Manchester United Noussair Mazraoui aweze kufuturu.

My Take : Dunia ingekuwa sehemu salama kama wote tungeishi kwa kupendana hivi pasi kujali imani zetu, dini zetu. Leo Noussair Mazraoui na Mo Salah wanatendewa mema na watu wasio Waislamu kesho wanawatakia kheri ya Christmass wewe muumini unakasirika unaenda kumlaani kwenye ukurasa wake.

Hivi mnajisikiaje Watu wa imani mbalimbali wanapowatakia heri ya mfungo mwema wa Ramadhan na mnazipokea vizuri tu lakini kwenu akitokea muumini mmoja akamtakia heri ya sikukuu hata Msabato anaonekana ameasi? Hamuoni kama huo ni ubinafsi? TUPENDANE NDUGU ZANGU.View attachment 3256308
Sasa itokee muislamu amesimamisha jambo ili wa imani nyingine afanye ya imani yake, UTASHANGAA ATAKAVYOSHAMBULIWA NA WENZIE..!!!
 
Leo katika mchezo wa mwisho wa kombe la FA mwamuzi alisimamisha mchezo kwa dakika kadhaa ili kuruhusu mchezaji wa Manchester United Noussair Mazraoui aweze kufuturu.

My Take : Dunia ingekuwa sehemu salama kama wote tungeishi kwa kupendana hivi pasi kujali imani zetu, dini zetu. Leo Noussair Mazraoui na Mo Salah wanatendewa mema na watu wasio Waislamu kesho wanawatakia kheri ya Christmass wewe muumini unakasirika unaenda kumlaani kwenye ukurasa wake.

Hivi mnajisikiaje Watu wa imani mbalimbali wanapowatakia heri ya mfungo mwema wa Ramadhan na mnazipokea vizuri tu lakini kwenu akitokea muumini mmoja akamtakia heri ya sikukuu hata Msabato anaonekana ameasi? Hamuoni kama huo ni ubinafsi? TUPENDANE NDUGU ZANGU.View attachment 3256308
Hawa jamaa wana ustaarabu wao. Tofauti sana na sisi wengine huku tunadhani tuna imani kuliko wao.
 
Tangu asubuhi mchezaji hajala, halafi anaingia uwanjani jioni, hivi ni kweli anakuwa hajala au kutafuta kiki mitandaoni?
Kumbuka ameshindilia misosi mpaka usiku wa manane, literally amebadilisha tu masaa ya kula badala ya kula mchana kwa sasa anakula usiku. Same amount of food or probably even more lakini katika masaa tofauti.
 
Leo katika mchezo wa mwisho wa kombe la FA mwamuzi alisimamisha mchezo kwa dakika kadhaa ili kuruhusu mchezaji wa Manchester United Noussair Mazraoui aweze kufuturu.

My Take : Dunia ingekuwa sehemu salama kama wote tungeishi kwa kupendana hivi pasi kujali imani zetu, dini zetu. Leo Noussair Mazraoui na Mo Salah wanatendewa mema na watu wasio Waislamu kesho wanawatakia kheri ya Christmass wewe muumini unakasirika unaenda kumlaani kwenye ukurasa wake.

Hivi mnajisikiaje Watu wa imani mbalimbali wanapowatakia heri ya mfungo mwema wa Ramadhan na mnazipokea vizuri tu lakini kwenu akitokea muumini mmoja akamtakia heri ya sikukuu hata Msabato anaonekana ameasi? Hamuoni kama huo ni ubinafsi? TUPENDANE NDUGU ZANGU.View attachment 3256308
Ushawahi kumuona Bakhresa au Mo Dewji ana complicate na ishu za dini???
Maskini ndio wana muda huo wa kuenezeza chuki..
 
Hawa jamaa wana ustaarabu wao. Tofauti sana na sisi wengine huku tunadhani tuna imani kuliko wao.
Mo Salah akisemaga tu MERY CHRISTIMASS, huwa anashambuliwa na waislamu ile mbaya..!! Lakini wapo hawa wanashangilia wastaarabu kumpisha mwenzao kufuturu..!! UJINGA wa hali ya juu sana, wakati ni sawa tu na anachokifanyaga Mo Salah..!!!

CC Malaria 2
 
Back
Top Bottom