FA CUP : Mechi Kati Ya Manchester United Vs Fulham Fc yasimama Ili Mchezaji afuturu

FA CUP : Mechi Kati Ya Manchester United Vs Fulham Fc yasimama Ili Mchezaji afuturu

Ushawahi kumuona Bakhresa au Mo Dewji ana complicate na ishu za dini???
Maskini ndio wana muda huo wa kuenezeza chuki..
Nadhani hili jambo lina ukweli sababu hata Uarabuni Uislamu ndio dini kubwa na inawezekana kuna sheria za kuzuia kula hadharani.

Lakini hatuonagi ujinga kama huu wakukamata hata anayejipikia ndani kwake na kuwapelekea wasiofunga ambao nao hawali hicho chakula hadharani.

Nafikiri mtu mweusi ana namna yake yakipekee ya anavyoiprocess dini.

 
Nadhani hili jambo lina ukweli sababu hata Uarabuni Uislamu ndio dini kubwa na inawezekana kuna sheria za kuzuia kula hadharani.

Lakini hatuonagi ujinga kama huu wakukamata hata anayejipikia ndani kwake na kuwapelekea wasiofunga ambao nao hawali hicho chakula hadharani.

Nafikiri mtu mweusi ana namna yake yakipekee ya anavyoiprocess dini.

CC Malaria 2
 
Hawa jamaa wana ustaarabu wao. Tofauti sana na sisi wengine huku tunadhani tuna imani kuliko wao.
Huwa tunaamini Adam na Hawa walipokula lile tunda wakapata ufahamu wa lipi jema na lipi baya.

Bila muongozo wa Biblia wala Quruan tayari wakatambua lipi jema na lipi baya. Hata ndani ya nafsi yako mwenyewe unapotaka kutenda jambo baya unajua na zuri pia unajua. Hicho kitu kipo ndani yetu Mungu katuumba na akili na utashi.

Huwezi ukaniaminisha wale wasio wa imani yangu ninaoshiriki nao shughuli mbalimbali za kijamii tukisaidiana katika shida na raha eti nishindwe kuwatakia heri, kushiriki na kula nao sikukuu kwasababu tu nimekatazwa ni dhambi.

Wazee, em jaribuni kuifikiria hii family friend wako anayeitwa Hamis amekualika ukale Sikukuu ya Idd. Unaenda na mke na watoto wako. Mkeo anaongea na mwenzake, watoto wako wanakutana na watoto wa Hamis wanakula, wanacheza wanafurahi. Siku inaisha hakuna aliyekufuru au kukejeli mtume, dini wala imani mwenzake. Hii nayo ni dhambi?

Nimechagua kutumia akili na utashi niliopewa na Mungu kabla ya chochote kile.
 
Bakhresa angekuwa ana itikadi hizi asingeruhusu salamu za Christmass kwenye Media zake.
Hicho Ni Chombo Cha Kibiashara Sio Cha Dini Yanayofanyika Hapo Sio Maoni Au Mawazo Ya Mmiliki Wa Media Ila Mmiliki Ukikaa Nae Nje Ya Media Ana Maoni Na Mawazo Yake Na Ndio Maana Kuna Wafanyakazi Wa Dini Tofauti.Sijajua Kiwango Cha Akili Yako Ila Ngoja Nikusaidie Hivyo.
 
Jamii za wa kiristu huwa zina heshimu imani za watu wengine....shida iko kwa jamii za kiislamu...wao huwa wanataka ufuate utaratibu wao tu
 
Tangu asubuhi mchezaji hajala, halafi anaingia uwanjani jioni, hivi ni kweli anakuwa hajala au kutafuta kiki mitandaoni?
Hujui lolote mkuu. Ni bora ungekaa kumya tu. Mtu yupo Manchester United tayar tena akiwa mdogo kabisa atafute kiki mtandaoni ya nn na kwann??
 
Back
Top Bottom