Fabrice Ngoma ni Midfielder Bora kuliko Khalid Aucho!

Fabrice Ngoma ni Midfielder Bora kuliko Khalid Aucho!

Ubaya Ubwela

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2024
Posts
1,353
Reaction score
3,060
Fabrice Ngoma wachambuzi wa ndani na nje ya Nchi wanamuita Midfielder teacher, anapiga pass kwa usahii, anakaba kwa akili nyingi sana ni kiungo aliyekamilika na kiongozi mzuri sana uwanjani


Khalid Aucho Komwe Jamaa anapiga pass mbovu sana pass zake nyingi hazifiki kwa mlengwa, hatumii akili kwenye kukaba anatumia nguvu nyingi, anakaba kama linguruwe lililokurupushwa porini anaingia mzima mzima vifuti,viwiko Ni kiungo anaeongoza kwa kucheza rafu
 
Yale yale ya chama na pacome 😂
Aucho atabaki kuwa Aucho na ngoma atabaki kuwa ngoma
Hao wote uliowataja hapo ni Ngoma peke yake mwenye career nzuri angalau wanafuata Chama na Aucho.

Ngoma wa Al hilal na Raja Casablanca hao wachezaji wote uliowataja hawastahili hata kugusa kamba zake za viatu, tunazungumzia mtu mwenye caps zaidi ya 17 pale DRC
 
Nitawakumbusha viongozi wa Simba kuboresha timu zaidi msimu Ujao
na kuwatoa baadhi ya wachezaji.
Maboresho angalau matano ya maana

i. Beki wa kati 5,
ii.kiungo wa ukabaji 6.
iii.Mshambuliaji 9.
Iv.kiungo mshambuliaji 10.

WAANZE KUWASAHAU WACHEZAJI WAFUATAO.
1. Karabue chamue.
2. Agustine Okejepha.
3. Joshua Mutale.
4.Steven Mukwala.
5. Aishi Manula.
 
Nitawakumbusha viongozi wa Simba kuboresha timu zaidi msimu Ujao
na kuwatoa baadhi ya wachezaji.
Maboresho angalau matano ya maana

i. Beki wa kati 5,
ii.kiungo wa ukabaji 6.
iii.Mshambuliaji 9.
Iv.kiungo mshambuliaji 10.

WAANZE KUWASAHAU WACHEZAJI WAFUATAO.
1. Karabue chamue.
2. Agustine Okejepha.
3. Joshua Mutale.
4.Steven Mukwala.
5. Aishi Manula.
Umemaliza kila kitu mkuu
 
Aucho Yuko good bhn,fananisha mchezaji mwingine labdah useme Ngoma Vs James Akaminko

Au Ngoma Vs Mutale tutakuelewa,hata Simba wenyewe wanamwelewa Aucho
 
Nitawakumbusha viongozi wa Simba kuboresha timu zaidi msimu Ujao
na kuwatoa baadhi ya wachezaji.
Maboresho angalau matano ya maana

i. Beki wa kati 5,
ii.kiungo wa ukabaji 6.
iii.Mshambuliaji 9.
Iv.kiungo mshambuliaji 10.

WAANZE KUWASAHAU WACHEZAJI WAFUATAO.
1. Karabue chamue.
2. Agustine Okejepha.
3. Joshua Mutale.
4.Steven Mukwala.
5. Aishi Manula.
Unajua ball kaka
 
Kama Aucho ambaye tank linaanza kuisha mafuta anafanishwa na Ngoma ambaye amerudisha kiwango hivi karibuni sasa wangefananishwa wakiwa wote kwenye peak zao ingekuwaje? Makolo napata shaka kama huwa mnaangalia mpira nyie. Unasema ndio kiungo anayecheza rafu hivi umemuangalia Akaminko wewe?

Msiangalie au kuuongelea mpira kuizunguka Simba tu. Tazameni mpira kote kwa sababu hata positions tu hawachezi sawa ila uko hapa kuwafananisha.
 
Back
Top Bottom