Kama ilivyokuwa kwa SawakubwaUto tunaenda Ikulu kupeleka lawama, Simba wametuibia mido wetu
Aisee..sasa itakuwaje
ππ π πππππ: Klabu ya Simba imethibitisha kumsajili kiungo mkabaji, Fabrice Ngoma kutoka kwa vigogo wa Sudan, Al Hilal Omdurman kwa mkataba wa miaka miwili.
Ngoma (29) raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye pia anamudu kucheza nafasi ya beki wa kati akiwa na uzoefu na michuano ya Kimataifa amewahi kuvitumikia vilabu vya AS Vita ya DRC na Raja Casablanca ya Morocco.
Sasa hivi tunawaangalia tu. πMakolo wapo vizuri kuzoa zoa, ligi ikianza utasikia Gsm wanatembeza bahasha π
Akili ni ntu mbili tu kule jamaa yangu π€£π€£π€£π€£Aisee..sasa itakuwaje
Mason Mount jezi namba -1=....?πAnavaa jezi namba gani?
Uongooooo!Uto tunaenda Ikulu kupeleka lawama, Simba wametuibia mido wetu
Jikaze namba 6 yenu hii imeenda na majiMakolo wapo vizuri kuzoa zoa, ligi ikianza utasikia Gsm wanatembeza bahasha π
Sasa hivi tunawaangalia tu. π
Ligi ikianza tu kuchanganya, utawaona wanavyo hangaika kumtafuta mchawi.
Kwa nini kwenye poster ya utambulisho mmeweka picha ya ndege? Mnataka kumaanisha nini?