GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Kama ilivyokuwa kwa Sawakubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ilivyokuwa kwa Sawakubwa
𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Klabu ya Simba imethibitisha kumsajili kiungo mkabaji, Fabrice Ngoma kutoka kwa vigogo wa Sudan, Al Hilal Omdurman kwa mkataba wa miaka miwili.
Ngoma (29) raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye pia anamudu kucheza nafasi ya beki wa kati akiwa na uzoefu na michuano ya Kimataifa amewahi kuvitumikia vilabu vya AS Vita ya DRC na Raja Casablanca ya Morocco.
Karibu sana Ngoma.
NipoooMrembo upo???
Nipooo
Ligi ikianza tusisikie malalamiko ya bahasha.Uto tunaenda Ikulu kupeleka lawama, Simba wametuibia mido wetu
Vp ile kesi iliyofunguliwa na Al Hilal kwa Ngoma, je wakishinda ?
𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Klabu ya Simba imethibitisha kumsajili kiungo mkabaji, Fabrice Ngoma kutoka kwa vigogo wa Sudan, Al Hilal Omdurman kwa mkataba wa miaka miwili.
Ngoma (29) raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye pia anamudu kucheza nafasi ya beki wa kati akiwa na uzoefu na michuano ya Kimataifa amewahi kuvitumikia vilabu vya AS Vita ya DRC na Raja Casablanca ya Morocco.
Mbona alikuwa kashtakiwa na timu yake ya Al Hilal FIFA?Wachezaji wa kigeni hadi sasaivi tumezidisha naona kabisa Banda na sakho hawatakuwepo msimu huu
Wewe umesikia wapi?Mbona alikuwa kashtakiwa na timu yake ya Al Hilal FIFA?
Mimi Nawashaaga makipa hasa mipira akipiga Aziz ki.Sasa hivi tunawaangalia tu. 🙄
Ligi ikianza tu kuchanganya, utawaona wanavyo hangaika kumtafuta mchawi.
Mzamiru hawezi kuondoka ili kuboost number ya local players. Timu haiwezi kuingia wageni wote.Mzamiru Atafute timu, Huo Moto wa Kanoute ni Ngoma Utakuwa Balaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tusubiri ligi ianze kwani,Mwaka wetu wa kula raha huu