Fabrice Ngoma ni mnyama

Sasa utopolo itakuwaje
 
Vp ile kesi iliyofunguliwa na Al Hilal kwa Ngoma, je wakishinda ?
 
Mzamiru Atafute timu, Huo Moto wa Kanoute ni Ngoma Utakuwa Balaaaa
Mzamiru hawezi kuondoka ili kuboost number ya local players. Timu haiwezi kuingia wageni wote.
International game wanatakiwa atleast watatu, wa maana hapo ni Zimbwe, Kapombe na yeye. Manula majeruhi
 
Akitambulishwa konde boy tu ligi inaanza kesho yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…