niachiemimi
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,606
- 5,295
Mzee wa anfifilos.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapuuzi mtaisha lini?Awe alisema akiwa hamaanishi alichokuwa anakisema, Ila ukweli hapa Mabeberu wamechemka Kwa mbinu zao za kutaka kuona Africa inakuwa sehemu ya misiba Kwa Covd 19
Zezeta hilo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wapuuzi mtaisha lini?
Wewe ni beberu?Wapuuzi mtaisha lini?
Mbunge mtarajiwa 😂😂😂😂Baada ya Askofu Josephat Gwajima kutuhumu kuwa huenda Tanzania ikatumiwa Corona virus kwa njia ya 5G kutoka kwa nchi mabeberu na kuuandika Facebook hatimaye uongozi wa mtandao huo wameufutilia mbali.
Askofu mzima unakuwa mzushi mzushi hadi unaonekana kituko
View attachment 1502995
Siku hizi tapeli lakini zamani alikuwa askofu wa ukweli [emoji41][emoji41]Tapeli hilo jamaa. Saafi sanaa!
Lini aliwahi kuwa askofu wa kweli ?Siku hizi tapeli lakini zamani alikuwa askofu wa ukweli [emoji41][emoji41]
Never to me.Siku hizi tapeli lakini zamani alikuwa askofu wa ukweli [emoji41][emoji41]
Tena sana.Huyo jamaa hapo kwenye 5G na covid 19 alichemka sana
BADO NI KAMA UMNAMTETEA NA KUMBEBABEBA.Huyo jamaa hapo kwenye 5G na covid 19 alichemka sana
Nawashangaa zaidi waumini wake..[emoji56]Facebook wenyewe wameshangaa Tz kuwa na viumbe vyenye akili za ugoro kama za Gwajima.