Facebook wafuta uzushi wa askofu Josephat Gwajima kuhusu COVID 19 aliokuwa ameuandika kwenye ukurasa wake ndani ya mtandao huo

Mzee Gwaj anazeeka na ufundi wake wa kukata uno.Waumin wake mna bahati sana..
 
Facebook wenyewe wameshangaa Tz kuwa na viumbe vyenye akili za ugoro kama za Gwajima.
 
Mbunge mtarajiwa 😂😂😂😂

Tanzania tuna vituko,ngoja nikaangalie kwenye site zetu za utamu kama ule mkono ni wake au wa BAUNSA.
 
Mzee wa amfifiro na uno katika ubora wake. Hapo waja wake watakesha na kufunga wiki 3, nabii "kajaribiwa".
 
Waliguswa kwenye project yao Covid. Facebook so ndiyo wale wale mabeberu.
 
Naomba kuuliza, unawez akulowehsa nguo ambayo imeshalowa chapachapa? Maana kama Corona tayari ipo Tz, sasa kwanini tunaogopa italetwa?
 
Huyo jamaa hapo kwenye 5G na covid 19 alichemka sana
BADO NI KAMA UMNAMTETEA NA KUMBEBABEBA.
HUYU ALISHAGEUKIA KWENYE UPEPO WA
'LOWER SIR' UCHAGUZI WA 2015 AU MMESAHAU? NA AKAONGEA MANENO MACHAFU SANAKIPINDI KILE. NA SASA YUPO WAPI? NI KIGEUGEU KTK KILA KITU. BORA MASLAH YAKE YAENDELEE KUKUA TU ANAWEZA KUSEMA CHOCHORE!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…