Facebook yafukuza wafanyakazi 11,000 baada ya hasara ya Tsh. Tilioni 13

Wanasema "Being first is the same thing as being wrong"

Mark alitaka kuwa wa kwanza

Wazo zima la Metaverse kwangu ni kama U communism
Mzuri sana kwenye karatasi, lakini kwenye utendaji kazi ni disaster

Pia Metaverse ina bad reputation kwa watu wengi, angalia Movie kama Matrix
Neno lenyewe Metaverse limechukuliwa kwenye kitabu kinacho "Dis" Metaverse yenyewe

Kinacho nishangaza ni Mark kuweka hadhina yake yote kwenye hii idea, alikua karibu kuwa Mtu tajiri zaidi Duniani miaka 3 au 2 tu iliyopita, last time nimetazama sikumuona hata top 15
 

Mkuu naomba nifafanulie kwa lugha rahisi mimi mkazi wa kwa mtogole, hii METAVERSE ni nini haswa
 
Mkuu naomba nifafanulie kwa lugha rahisi mimi mkazi wa kwa mtogole, hii METAVERSE ni nini haswa
Okay mkuu.

Metaverse lengo lake ni kutengeneza ulimwengu mwingine ndani ya huuhuu tuliopo kwa kutumia technologies kama virtual reality(VR) na augmented reality(AR).

Unaweza jiuliza pia Virtual na Augmented reality ni nini. Kiufupi virtual reality ni technology inayokuletea uhalisia feki, yaan mfano kuna vitu kama miwan fln hv unavaa then unaona uko mwezini au ndani ya mwili wa binadamu na unaona parts zote. Nchi zilizoendelea wanatumia virtual reality kwenye mafunzo kama ya udaktari etc...

Sasa muunganiko wa hizo technology ndo wanataka kuutumia kutengeneza ulimwengu mwingine ambamo mtu ataweza nunua nyumba, wasanii wataweza kuperform, mechi za mpira zitaweza kuchezwa humo etc....

Lengo ni kwamba mtu akiona huu ulimwengu wa sasa(universe) unamuudhi anaweza kuswitch kwenda kwenye ulimwengu mwngne anaotaka, na ndipo likatokea neno 'META' kwenye metaverse (meta = many ) yaan uwepo wa 'nyulimwengu' mbalimbali
 
Layoffs zitaendelea tokea dunia nzima
Daaah kwa devs wa kiafrika tunaofanya kazi na hawa jamaa tunapata hali ngumu sana, ni kukaa mguu pande. Yaan wakianza layoff wanaanza na Africans..

It's time to create african tech giants.
 
Daaah kwa devs wa kiafrika tunaofanya kazi na hawa jamaa tunapata hali ngumu sana, ni kukaa mguu pande. Yaan wakianza layoff wanaanza na Africans..

It's time to create african tech giants.
Tatizo mtaji
 

mbona mpaka hapa katoboa tayar,hawa jamaa huwaza miaka 10 na zaidi mbele halafu sisi wazee wa shallow tunaaona wanayumba.

hata bwana musk alikuwa kama kichaa hivi,huyo hapo leo[emoji23][emoji23]
 
Tatizo mtaji
Tatizo ni Monopoly, bila serikali Za ki Africa kuingilia hata ulete Mtaji wa trilioni hutoboi.

Miaka ya 2000 mpaka 2010 kulikua na social network kibao za Ki Africa na Nyengine za Ulaya kama Eskimi, Nimbuzz, Mig33, Grid, 2Go na wengine kibao zote zimekufa sababu hazikuwa protected na Monopolistic behaviour.

China wao walifanikiwa kwa njia nyengine sasa hivi wana alternative ya kila kitu toka west.
 
mbona mpaka hapa katoboa tayar,hawa jamaa huwaza miaka 10 na zaidi mbele halafu sisi wazee wa shallow tunaaona wanayumba.

hata bwana musk alikuwa kama kichaa hivi,huyo hapo leo[emoji23][emoji23]
Hata hapo juu nimesema hilo. Hii idea ni nzr shida sio ya kufanikiwa leo au kesho ni miaka 10 kuendelea. Wallstreet hawataki kusikia hilo la miaka 10 mbele ndo maana wanatoa hela zao Meta kuweka pengine kwenye return ya haraka kdg.
 
Hata JF nadhan imeanza kabla ya fb au zimepishana kdg sana
 
Hao ndo walikuwa wanalipana 400$ ya chakula kwa siku?
Mhh.... sijasikia hilo lkn developer jobs kwa kawaida zina bonus kubwa sana kwenye makampuni makubwa kama hayo, sio jambo la kushangaza coz hata hourly rate ya developer alo-qualify kufanya kazi sehemu hizo ni 50 to 80 usd/hour. Hapo bado hujaweka bonus nyngne

Ni racism tu inawasumbua. Akilini mwao wanajua Africans are not better at anything. Wao kumpa kazi mwafrika wanaona kama wamempa favor, ndo maana wakianza kupunguza wanaanza na Africans bila kuangalia mambo mengne
 
Ofisi za Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) Mjini Nairobi, Kenya, limetangaza kupunguza kazi wafanyakazi wake 96, na tayari Shirika hilo limewasiliana na wafanyakazi hao.

Mkutano wa wafanyakazi hao umepangwa kufanyika kwa njia ya mtandao Zoom hapo kesho. https://t.co/wV1e0Jc5dN
 
Inabidi watu tujipange kitofauti maana yaonekana lay offs zitaendelea kuwepo kwani robots, AI zinachukua ufanisi wa binadamu...
 
Hii idea ni noma aisee!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…