Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya hii vita nchi nyingi zitapitia upya uhusiano wao na haya makampuni makubwa ya social media na mengineyo.
I don't understand, I'm completely out of step.
Vita imemtoa pangoni hadi Natty Bongoman….long time no see man!Chombo chao cha vita vya habari na propaganda
... ila ni unafiki usio na aibu - ubabe kabisa. Juzi tu kwao waliweka kesi kumkataza kuruhusu maneno chafu kwao.
Democracy au upumbavu tu walio nao?Hawa jamaa mbona hawana demo- krasia
Ndiyomaana wanaosikilizaga na kutizama BBC, CNN, ALJAZEERA, FRANCE 24 HRS huwa nawadharau mara trilioni sababu hawatambui unafki walionao USA na nchi za EU ni wa kiwango cha SGR.Chombo chao cha vita vya habari na propaganda
... ila ni unafiki usio na aibu - ubabe kabisa. Juzi tu kwao waliweka kesi kumkataza kuruhusu maneno chafu kwao.
Jomba wanaotizama hivyo vyombo ni watu wazima na wanajua mapungufu ya hivyo vyombo pamoja na unafiki wa nchi za magharibi, ni basi tu wameamua kufumbia macho unafiki wa hizo nchi.Ndiyomaana wanaosikilizaga na kutizama BBC, CNN, ALJAZEERA, FRANCE 24 HRS huwa nawadharau mara trilioni sababu hawatambui unafki walionao USA na nchi za EU ni wa kiwango cha SGR.
even NATO deserves bullets.Facebook wako sahihi, Putin ni mnyama mwenye umbile la mwanadamu. He deserves the gallows.
😂 good 2 b back... niaje msela wanguVita imemtoa pangoni hadi Natty Bongoman….long time no see man!
Tatizo Putin siyo warusi.Vikwazo havifanyi kazi wameamua kutafuta huruma mitandaoni,
Sasa Mrusi hata umtukane anajua wapi hicho kiswahili, labda wasiompenda mrusi wote wajifunze kirusi, nina hakika wazungu wengi tu hawajui kirusi
umeona walivopiga vita RT - inaonyesha upande mwingine... CTGN wamemgwaya ila kwangu mm kapoa - mchina anaangalia big pictureNdiyomaana wanaosikilizaga na kutizama BBC, CNN, ALJAZEERA, FRANCE 24 HRS huwa nawadharau mara trilioni sababu hawatambui unafki walionao USA na nchi za EU ni wa kiwango cha SGR.
wamekazana sana wamagharibi kuficha hii ishu ya neo nazi... tena waliwalea ili watese warusi - kinawarudi, walezi wamewatelekeza"Death to Ukrenian Neo Nazi"
kweli mkuu karibu gamboshiHi Dunia unafiki unazidi, kungekuwa kuna Sayari nyingine habitable ningeshahama kitambo...