Facebook yawezakana ikawa janga jipya duniani.

Facebook yawezakana ikawa janga jipya duniani.

Bakulutu

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2011
Posts
2,557
Reaction score
1,787
Habari GT.
Najua wengi wetu hapa tuna tumia Facebook "either direct or indirect"

Kwa kipindi kifupi toka Facebook aongeze kipengele cha VIDEO kimeifanya kuwa sio sehemu salama kabisa kimaadili.

Kwa nini?
Kama umegundua sahivi ukijaribu kufungua video mfano labda ni sehemu ya taarifa ya Habari ya Azam au ITV n.k au video yeyote ile kuna zile "others videos" zinakuja kwa chini, ukijaribu ku preview asilimia kubwa ni videos zisizo na maadali yaani kwa ufupi video nyingi zilizopo Facebook hazina maadili, ni wanawake wakicheza uchi, mara makalio makubwa, mara wanyama wakifanya mapenzi, yaani shida tupu, hata ukiwa kwenye gari hudhubutu ku tizama video ya heshima FB manake zile zinazo fuata ni aibu.

Hebu jiulize umekuta videos ya katuni nzuri ya dakika 2 au 3 ukamuachia mtoto angalie ukaenda chooni, ukarudi ukakuta imeisha imeingia nyingine kumbe ya uchafu na mtoto anatizama!!! Aseeeee.. [emoji24]
 
Mtoto wako anaingia hadi fesibuku!! Kweli hii dilitali
 
Bora wako anaishia fb.me mwanangu mdogo wa kike Yuko darasa la nne anazijua site zote za mapilau..ukimwachia simu ukarudi ukaenda kwenye recently history utakutana na xnxx,xvideos


Kizazi Cha lijoka(dragon)
Toooba
 
Bora wako anaishia fb.me mwanangu mdogo wa kike Yuko darasa la nne anazijua site zote za mapilau..ukimwachia simu ukarudi ukaenda kwenye recently history utakutana na xnxx,xvideos


Kizazi Cha lijoka(dragon)
hahahaha video-one(dot)com
 
Bora wako anaishia fb.me mwanangu mdogo wa kike Yuko darasa la nne anazijua site zote za mapilau..ukimwachia simu ukarudi ukaenda kwenye recently history utakutana na xnxx,xvideos


Kizazi Cha lijoka(dragon)
Duh...anafika hadi kwakina ankali mandingo...hatari hiyo Mkuu!
 
Bora wako anaishia fb.me mwanangu mdogo wa kike Yuko darasa la nne anazijua site zote za mapilau..ukimwachia simu ukarudi ukaenda kwenye recently history utakutana na xnxx,xvideos


Kizazi Cha lijoka(dragon)
Dah pole sana.. Ndio digital iyo
 
nadhani hii inatokana na following zako au marafiki zako wa karibu.
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Unaweza kujikuta unahibika aiseh mnaangalia na dogo vikatuni ghafla ads flani inatokea dogo anabofya dah Mara unaletewa pic za Ajabu
 
Bora wako anaishia fb.me mwanangu mdogo wa kike Yuko darasa la nne anazijua site zote za mapilau..ukimwachia simu ukarudi ukaenda kwenye recently history utakutana na xnxx,xvideos


Kizazi Cha lijoka(dragon)
Buhahahahahaha


Hatari sana
 
Back
Top Bottom