Fack check: urusi anapewa sifa ambazo hana jeshi lake halina weledi wa kimedani

Fack check: urusi anapewa sifa ambazo hana jeshi lake halina weledi wa kimedani

Nkerebhuke

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2021
Posts
796
Reaction score
2,026
Wataalamu na wachambuzi wa medani wanakubaliana kuwa victim wa kwanza ndani ya uwanja wa vita ni ukweli kwa kulitambua hilo ndio maana majeshi yote duniani yanakula kiapo na kutakiwa kutii order na si vinginevyo. Ukiwa askari unaweza kutumwa kwenye operation ya kijinga na ukapoteza maisha kizembe tu. Ukiacha beberu mkuu marekani jeshi linalopigiwa upatu na watu wengi hususani waswahili kuwa na ubora ni jeshi la urusi. Ni ukweli kuwa urusi wanafanya tafiti nyingi za kutengeneza silaha ya kushambulia na kujilinda but when come kwenye uwanja wa medani wanatuangusha sana. Kufuatia uvamizi wa jeshi la urusi Ukraine weledi wa jeshi lake umeonekana wazi kuwa ni mdogo kwa sababu zifuatazo:

1, taarifa za mpango wake wa uvamizi kuvuja na kunaswa mikononi mwa mabeberu ambao kimsingi ni maadui zake wakuu. Weledi wa medani unapaswa kulinda siri zako kama mtaji wa kumvamia adui yako kwa kushitukiza( suprise attack). Taarifa zako zikivuja unaweza kupata casaulities wengi kwani adui zako watajipanga na kujibu mapigo.

2, kuzidiwa propaganda na mabeberu hivyo operation yake ya kijeshi kuonekana ni uhalifu hata kaka alikuwa na malengo ya msingi.

3, makombora yake kupiga miundombinu ya kiraia ikiwemo hospitari, shule na makanisa. Kitendo hiki kinashusha morale ya askari walioko mstari wa mbele kuona raia wasio na hatia wanapoteza maisha.

4, kushindwa kupata " air supremacy'' yaani kulitawala anga la adui yako kwa lengo la kutoa supply kwa vikosi vilivyopo mstari wa mbele. Hali hii imesababisha ndege zake kushambuliwa na vikosi vyake kama tank regiment kushindwa kusonga mbele kwenye baadhi ya maeneo.

5, kudharau uwezo wa jeshi la ukraine hivyo kuingiza vikosi baadhi ya miji kwa misululu bila tahadhali kilichotokea na majanga. Baadhi ya picha zinaonesha baadhi ya askari wa wamekufa kwenye trenches na wameachwa waoze. Kitendo hiki kimepelekea kushambuliwa kwa vikosi vingi vya russia. Kuna analysist mmoja ambae Yuko front kuanesha jinshi wanakijiji walivyoangamiza platoon nzima ya russia.

6, kuchelewa kumaliza kwa operation kwa wakati, putin alinukuliwa akisema kuwa operation hiyo itachukua masaa 78 kumalizika lakini badala yake inaenda miezi miwili Sasa. Operation ikiwa ndefu unapata casualties wengi maana vita sio ngoma ya mchiliku.

7, vikosi vya russia kutesa, kubaka na kuua raia wasio na hatia. Kitendo hiki kitafanya operation iwe ngumu sana maana vijana wa ukraine watataka kulipa kisasi kwa maadui zao ambao wamedhulumu maisha ya ndugu zao.

8, kushindwa kukata supply ya silaha za kushambulia na kujilinda kutoka kwa maadui zake yaani mabeberu. Kwa jicho la medani urusi amezidiwa coz mbinu moja wapo ya medani unazuia adui yako asipate msaada ili ajifie mwenyewe.

Mwisho, operation yoyote ya medani inaitaji weledi wa juu ili kufikia lengo kwa haraka bila kupata hasara kubwa ya vifaa, binadamu na Pesa. Operation chakaza iliotekelezwa na jwtz kumuondoa Amini Bora ingeishia mpakani baada ya kumfurusha amini kuliko kukaa miezi Sita vitani na kusababisha taifa kutumbukia kwenye mdororo wa uchumi. Kalibu kwa michango yenu wakuu yenye staha na heshima ya kitanzania.


 
Andiko lako lime egemea kwenye taarifa toka vyanzo vya magharibi

Unaposema anavamia hospital, mashule ulitaka afanye nini ikiwa wanajeshi wa ukraini wanajificha huko
 
Andiko lako lime egemea kwenye taarifa toka vyanzo vya magharibi

Unaposema anavamia hospital, mashule ulitaka afanye nini ikiwa wanajeshi wa ukraini wanajificha huko
Ukiandaa operation lazima uwe na full logistics, pia taarifa zako za kijasusi zijitosheleze kutokea eneo la utakelezaji. Kwa mfano unavamia nchi ya watu ( national state ) unapaswa kupima ( the degree of national spirit) yaani kiwango cha uzalendo wa taifa husika. Unaingia kwenye nchi ambayo watu wake wako sold kulinda nchi yao au huna ushawishi wowote matokeo yake utaua raia ambao hawana hatia. Hata hivyo sio taarifa zote zinazochapishwa na Western media ni fake zingine zina ukweli. Angalia hii vita vita kwa jicho medani utaona jinshi russia anavyopata heavy resistance.
 
Wataalamu na wachambuzi wa medani wanakubaliana kuwa victim wa kwanza ndani ya uwanja wa vita ni ukweli kwa kulitambua hilo ndio maana majeshi yote duniani yanakula kiapo na kutakiwa kutii order na si vinginevyo. Ukiwa askari unaweza kutumwa kwenye operation ya kijinga na ukapoteza maisha kizembe tu. Ukiacha beberu mkuu marekani jeshi linalopigiwa upatu na watu wengi hususani waswahili kuwa na ubora ni jeshi la urusi. Ni ukweli kuwa urusi wanafanya tafiti nyingi za kutengeneza silaha ya kushambulia na kujilinda but when come kwenye uwanja wa medani wanatuangusha sana. Kufuatia uvamizi wa jeshi la urusi Ukraine weledi wa jeshi lake umeonekana wazi kuwa ni mdogo kwa sababu zifuatazo:

1, taarifa za mpango wake wa uvamizi kuvuja na kunaswa mikononi mwa mabeberu ambao kimsingi ni maadui zake wakuu. Weledi wa medani unapaswa kulinda siri zako kama mtaji wa kumvamia adui yako kwa kushitukiza( suprise attack). Taarifa zako zikivuja unaweza kupata casaulities wengi kwani adui zako watajipanga na kujibu mapigo.

2, kuzidiwa propaganda na mabeberu hivyo operation yake ya kijeshi kuonekana ni uhalifu hata kaka alikuwa na malengo ya msingi.

3, makombora yake kupiga miundombinu ya kiraia ikiwemo hospitari, shule na makanisa. Kitendo hiki kinashusha morale ya askari walioko mstari wa mbele kuona raia wasio na hatia wanapoteza maisha.

4, kushindwa kupata " air supremacy'' yaani kulitawala anga la adui yako kwa lengo la kutoa supply kwa vikosi vilivyopo mstari wa mbele. Hali hii imesababisha ndege zake kushambuliwa na vikosi vyake kama tank regiment kushindwa kusonga mbele kwenye baadhi ya maeneo.

5, kudharau uwezo wa jeshi la ukraine hivyo kuingiza vikosi baadhi ya miji kwa misululu bila tahadhali kilichotokea na majanga. Baadhi ya picha zinaonesha baadhi ya askari wa wamekufa kwenye trenches na wameachwa waoze. Kitendo hiki kimepelekea kushambuliwa kwa vikosi vingi vya russia. Kuna analysist mmoja ambae Yuko front kuanesha jinshi wanakijiji walivyoangamiza platoon nzima ya russia.

6, kuchelewa kumaliza kwa operation kwa wakati, putin alinukuliwa akisema kuwa operation hiyo itachukua masaa 78 kumalizika lakini badala yake inaenda miezi miwili Sasa. Operation ikiwa ndefu unapata casualties wengi maana vita sio ngoma ya mchiliku.

7, vikosi vya russia kutesa, kubaka na kuua raia wasio na hatia. Kitendo hiki kitafanya operation iwe ngumu sana maana vijana wa ukraine watataka kulipa kisasi kwa maadui zao ambao wamedhulumu maisha ya ndugu zao.

8, kushindwa kukata supply ya silaha za kushambulia na kujilinda kutoka kwa maadui zake yaani mabeberu. Kwa jicho la medani urusi amezidiwa coz mbinu moja wapo ya medani unazuia adui yako asipate msaada ili ajifie mwenyewe.

Mwisho, operation yoyote ya medani inaitaji weledi wa juu ili kufikia lengo kwa haraka bila kupata hasara kubwa ya vifaa, binadamu na Pesa. Operation chakaza iliotekelezwa na jwtz kumuondoa Amini Bora ingeishia mpakani baada ya kumfurusha amini kuliko kukaa miezi Sita vitani na kusababisha taifa kutumbukia kwenye mdororo wa uchumi. Kalibu kwa michango yenu wakuu yenye staha na heshima ya kitanzania.


This is totally nonsense.au hujui jeshi la urusi imeshapigana vita vingi vikubwa vikashinda hata wamarekani hawawafikii.
 
Andiko lako lime egemea kwenye taarifa toka vyanzo vya magharibi

Unaposema anavamia hospital, mashule ulitaka afanye nini ikiwa wanajeshi wa ukraini wanajificha huko
Vyombo vya kimangaribi vikitangaza wanajeshi wa ukraine wamejisalimisha wote mnasema yeees

vikitangaza urusi kuna mahali anakwama mnasema propaganda hahaha

kiukweli Russia kabaki na Nuclear tu hiyo ndio silaha yake ya mwisho na kibaya wenzake wanazo yaani hakuna wakumtisha mwenzie maana hakuna atakaebaki salama
 
This is totally nonsense.au hujui jeshi la urusi imeshapigana vita vingi vikubwa vikashinda hata wamarekani hawawafikii.
Kaka usiwe na hasira za ushabiki calm down please njoo na fact ambazo wenzako wata enjoy kuzisoma. Soma histiria ya winter war utaelewa nachomaanisha. Weledi ni kitu muhimu sana kuzingatia, taifa dogo la Finland lilimfundisha adabu stalin, wakulima kama simo hayha walionesha uhodari wa hali ya juu ndani uwanja medani, second world war russia alipoteza almost askari 24milion. Nchi ndogo kama japani urusi alichapwa vizuri tu, afighanistan akiondoka kwa aibu. Kilichowapa support kwenye great patriotic war , ni kiwango kikubwa cha uzalendo wa wakati huo na uhalifu wa hitler ulitia hasira na chuki, pia ujerumani alikuwa anapigana maeneo mengi
 
Askari wapiganaji wakiwa uwanja wa vita wakipeana mbinu huku wanasoma ramani.Jambo afandee!?
 
Kaka usiwe na hasira za ushabiki calm down please njoo na fact ambazo wenzako wata enjoy kuzisoma. Soma histiria ya winter war utaelewa nachomaanisha. Weledi ni kitu muhimu sana kuzingatia, taifa dogo la Finland lilimfundisha adabu stalin, wakulima kama simo hayha walionesha uhodari wa hali ya juu ndani uwanja medani, second world war russia alipoteza almost askari 24milion. Nchi ndogo kama japani urusi alichapwa vizuri tu, afighanistan akiondoka kwa aibu. Kilichowapa support kwenye great patriotic war , ni kiwango kikubwa cha uzalendo wa wakati huo na uhalifu wa hitler ulitia hasira na chuki, pia ujerumani alikuwa anapigana maeneo mengi
Warusi washariki Sana vita kuanzia wakati wa kuundwa,Vita vya dunia walishiriki moja Kwa moja na Vita vya pili walimpiga Hitler.Red army ni moja ya jeshi imara Sana.
 
Ukiandaa operation lazima uwe na full logistics, pia taarifa zako za kijasusi zijitosheleze kutokea eneo la utakelezaji. Kwa mfano unavamia nchi ya watu ( national state ) unapaswa kupima ( the degree of national spirit) yaani kiwango cha uzalendo wa taifa husika. Unaingia kwenye nchi ambayo watu wake wako sold kulinda nchi yao au huna ushawishi wowote matokeo yake utaua raia ambao hawana hatia. Hata hivyo sio taarifa zote zinazochapishwa na Western media ni fake zingine zina ukweli. Angalia hii vita vita kwa jicho medani utaona jinshi russia anavyopata heavy resistance.
Nipe Listi Yako , Nchi Zenye Intelligence Nzuri Duniani .....! Nataka Tuaanze Hapo
 
Warusi washariki Sana vita kuanzia wakati wa kuundwa,Vita vya dunia walishiriki moja Kwa moja na Vita vya pili walimpiga Hitler.Red army ni moja ya jeshi imara Sana.
Brother kujua history hutakiwa kuishia kusoma tu, unapaswa kuwa na analytical knowledge ili kuchambua historical facts. Red Army walipigana kwa uhodari sana lakini ni jeshi lililopoteza askari wengi sana. Kuna kitu kinaitwa war death yaani vifo vinavyotokana na vita, urusi anaongoza kuwa na vifo vingi. Urusi anakuwa overrated lakini kwenye battle Finland anamtoa kamasi. Angalia ule msululu wa majeshi unapigwa kabisa picha unaelekea kwenye uwanja wa medani unahisi nini kinatokea
 
Brother kujua history hutakiwa kuishia kusoma tu, unapaswa kuwa na analytical knowledge ili kuchambua historical facts. Red Army walipigana kwa uhodari sana lakini ni jeshi lililopoteza askari wengi sana. Kuna kitu kinaitwa war death yaani vifo vinavyotokana na vita, urusi anaongoza kuwa na vifo vingi. Urusi anakuwa overrated lakini kwenye battle Finland anamtoa kamasi. Angalia ule msululu wa majeshi unapigwa kabisa picha unaelekea kwenye uwanja wa medani unahisi nini kinatokea
Kaangalie historia kaaguogle Vita walivyopigana warusi wamepigana Vita nyingi Sana ni kweli baadhi ya Vita chache walishindwa lakini Vita vingi walishinda huwezi kusema ni ovarated unless you are drunk Kwa Sababu hawa jamaa wameshiriki Vita kubwa nyingi Sana na walishinda.sasa kama unasema wako ovarated wamarekani utasemaje.kupoteza watu sababu mojawapo enzi hizo technologia ilikuwa chini.Narudia kusema anayesesma warusi ni ovarated akapimwe Akili.
 
Warusia washaanza kupigana Vita kuanzia nchi Yao ilipoanza kutengenezwa,hapo pia kuna Napoleon war alafu ndo uje Vita vya dunia.Marekani kazi yake ni kuvamia nchi dhaifu tu.hata vita vya dunia haikushiriki moja Kwa moja.
Vita Ni akili Kama anaona mbinu ya marekani Ni Bora basi iga , yeye haingii mzima lakin Ni superpower Nation in the world au sio ,karibu
 
Vita Ni akili Kama anaona mbinu ya marekani Ni Bora basi iga , yeye haingii mzima lakin Ni superpower Nation in the world au sio ,karibu
Urusi kishakwama ndg yangu alidhan alwmaliza show ndan ya 78 hrs lakin inakata miez na meli zake za kivita zinalipuliwa ,vifaru na ndege pia afu ngoja nipost sniper mmoja wa Canada alivyowamaliza warusi daa noma afu haibu pia
 
Kaangalie historia kaaguogle Vita walivyopigana warusi wamepigana Vita nyingi Sana ni kweli baadhi ya Vita chache walishindwa lakini Vita vingi walishinda huwezi kusema ni ovarated unless you are drunk Kwa Sababu hawa jamaa wameshiriki Vita kubwa nyingi Sana na walishinda.sasa kama unasema wako ovarated wamarekani utasemaje.kupoteza watu sababu mojawapo enzi hizo technologia ilikuwa chini.Narudia kusema anayesesma warusi ni ovarated akapimwe Akili.
Kaka unaleta intellectual arrogance kana kwamba unaelewa sana history kuliko wengine, history sometime kuna subjective elements hasa zile za ancient era, in modern era ni rahisi sana kupata facts zinazojitosheleza. Ni kweli urusi ni taifa kubwa kijeshi lakini sio kubwa kwenye medani, operation anayofanya kwa jirani yake kapoteza counted military hardware 3000, meli yake ambayo ni fahari ya taifa lao imezamishwa it means hana tena naval supremacy. Next time njoo na list ambayo Russia aliperform vizuri sana kwenye uwanja medani
 
Back
Top Bottom