Fack check: urusi anapewa sifa ambazo hana jeshi lake halina weledi wa kimedani

Fack check: urusi anapewa sifa ambazo hana jeshi lake halina weledi wa kimedani

Vyombo vya kimangaribi vikitangaza wanajeshi wa ukraine wamejisalimisha wote mnasema yeees

vikitangaza urusi kuna mahali anakwama mnasema propaganda hahaha

kiukweli Russia kabaki na Nuclear tu hiyo ndio silaha yake ya mwisho na kibaya wenzake wanazo yaani hakuna wakumtisha mwenzie maana hakuna atakaebaki salama
Kama Tanks zake na Jets zimeshushwa kizembe tu Ukraine, nina mashaka na efficiency ya hizo nukes zake.
 
Hebu
This is totally nonsense.au hujui jeshi la urusi imeshapigana vita vingi vikubwa vikashinda hata wamarekani hawawafikii.
Hebu tutajie hivyo vita vingi vilipigwa wapi?, Ukiacha vita ya 1 na 2 ya dunia.
 
Urusi kishakwama ndg yangu alidhan alwmaliza show ndan ya 78 hrs lakin inakata miez na meli zake za kivita zinalipuliwa ,vifaru na ndege pia afu ngoja nipost sniper mmoja wa Canada alivyowamaliza warusi daa noma afu haibu pia
Vita gani ambayo US ananasibika ndio namba moja akapigana kwamuda huo!!!????
 
Vita Ni akili Kama anaona mbinu ya marekani Ni Bora basi iga , yeye haingii mzima lakin Ni superpower Nation in the world au sio ,karibu
Kama haingiagi mazima kwann vita nyingine amepigwa vibaya sana na kukimbia?
 
Tuanzie hapo kwenye vigezo
Wewe umeangalia vigezo gani mpaka ukasema hana sifa anazopewa na wanaompa ama waliompa waliangalia vigezo gani pia kati yako wewe ambae naamini kwa asilimia kubwa huna taaluma yakutoa hivyo vigezo na hao walotoa nani anatakiwa aaminiwe !!!??
1-kwazile harakati zilizokua zinaendelea pale mpakani lilikua nisuala lamuda tu kabla ya UKRAINE kupelekewa moto ila watu walikua hawajajua itakua lini na saa ngapi
2-kwenye angle ya propaganda jamaa sio lengo lake nyie pigeni propaganda yeye yupo zake huko field anadeal na jambo lake
3-makombora yalikua yanapiga zana vita zilizokua zinafichwa humo na majeshi nanilazima zipigwe popote zitapofichwa
4-angekua hajalitawala anga la adui nadhani rais wa UKRAINE asingekua analialia huko WESTERN jamaa waeke No fly zone kwahio hili dhihirisho tosha kwamba jamaa huko juu kapakamatia haswaaa
5-hii namba tano nlipofika hapo kwawanakijiji nimeona sio hoja nikioja hao wanakijiji wakat wanawapiga hao majeshi hao majeshi walikua wameshika biskuti mikononi au mpaka wakauliwa wote
6-leta ushahidi wawapi PUT IN alisema kwamba OP itachukua muda gani kama ushahidi hakuna hii hoja nayo inageuka nakua MUFLIS
7-hoja yako hii inajijibu kwenye hoja yako No2 hapo juu hakuna mtu alobakwa wala kuuwawa hizo ningonjera za propaganda zao ambazo nazo zimekua MUFLIS
8-hili hapa unahoja tena yamsingi sana ambayo hata mie najiuliza kwanini !!?
Mwisho kabisa hoja yako namba mbili mpaka wewe imekupitia ila ukweli nikwamba UKRAINE inaangamia
 
Back
Top Bottom