Kama Tanks zake na Jets zimeshushwa kizembe tu Ukraine, nina mashaka na efficiency ya hizo nukes zake.Vyombo vya kimangaribi vikitangaza wanajeshi wa ukraine wamejisalimisha wote mnasema yeees
vikitangaza urusi kuna mahali anakwama mnasema propaganda hahaha
kiukweli Russia kabaki na Nuclear tu hiyo ndio silaha yake ya mwisho na kibaya wenzake wanazo yaani hakuna wakumtisha mwenzie maana hakuna atakaebaki salama
Hebu tutajie hivyo vita vingi vilipigwa wapi?, Ukiacha vita ya 1 na 2 ya dunia.This is totally nonsense.au hujui jeshi la urusi imeshapigana vita vingi vikubwa vikashinda hata wamarekani hawawafikii.
Vita gani ambayo US ananasibika ndio namba moja akapigana kwamuda huo!!!????Urusi kishakwama ndg yangu alidhan alwmaliza show ndan ya 78 hrs lakin inakata miez na meli zake za kivita zinalipuliwa ,vifaru na ndege pia afu ngoja nipost sniper mmoja wa Canada alivyowamaliza warusi daa noma afu haibu pia
Kama haingiagi mazima kwann vita nyingine amepigwa vibaya sana na kukimbia?Vita Ni akili Kama anaona mbinu ya marekani Ni Bora basi iga , yeye haingii mzima lakin Ni superpower Nation in the world au sio ,karibu