FACT CHECK: Roma hakutekwa, alijiteka kwa maslahi binafsi ya kiMuziki

Mbombo ngafu....

Lkn poa naamini unampa hasira roma aropoke kila kitu kama mtoto atasema "wamesema nisiseme kuwa tumepigwa, kuwa tulikuwa jengo la kigogo, kuwa wengine tumewaona, kuwa watekaji wametumwa na o nk.

Hiv kwenda jera bila kupitia mahakamani tafsri yake ni nn?
 
Akili zenu na Huyo bashite ndogo sana... Hamjui hata kutengeneza script vizuri
 
Mbona una haraka sana vipi ndugu au jamaa kakomaa hajali vitisho na kuna wasiwasi kesho akasema yote ata yale aliyokatazwa. Tulia tusikie kwa wahusika wenyewe wewe tulia akishasema then wewe uanzie hapo, umekua kimbelembele vipi ndugu
 
Huyu akutekwa,bali alihifadhiwa kwa muda kama mzigo.sema aliyekuwa naye ndo ajajulikana na alikuwa naye kwa sababu gani.
 
Ume crash mada sawa,but sio kwa hoja..mdau apo juu kaleta hoja na evidence as usual waTz 2nacrash kwa pointless,..mtendee haki bhana mleta mada
Watasemaje wakati hakiri zao zipo static.
Wangesoma .dynamism theory Labda Wange elewa zaidi kuwa hatautakiwi kubsha Kwa ironical words or rhetorical words.
You know there is bad scent but you still sitting in the same chair.
 
Haaaa. Yaani wewe mleta uzi umetumwa na nani kuleta uongo humu? Kawaaminishe bashite wenzako wewe. Inaonekana umejiunga Leo ili kupooza maneno!! Kwani watekaji unataka waje na bunduki ndo uamini? None sense

sauti za kufura za nini lete hoja dogo
 
Kama hizi ndizo akili za wapambe sijui boss wenu atakuwa na akili gani.
 
wawe wamejiteka au hawajajiteka si kasema ataongea kesho? sasa shida nini mi natunza tu bando langu
 
Naona tunaishi kwa mazoea na kukariri matukio.
Siyo lazima mtekaji aje kwa vitisho,kujeruhi na kuua.
Hata jambazi mwenye silaha huua pale tu anapo lazimika kufanya hivyo.
Hoja ya Roma kujiteka mwenyewe siiiamini sana hadi hapo Roma mwenyewe atakapo lizungumzia swala hilo.
 
Bashite kajaje sasa mwenzio kaeleza namna anavyofahamu utekaji we unajibu hoja kwa kelele hiv vijana wa vidole viwili mna matatizo gani
 
Bashite kajaje sasa mwenzio kaeleza namna anavyofahamu utekaji we unajibu hoja kwa kelele hiv vijana wa vidole viwili mna matatizo gani
Ni vizuri kwa mtoa hoja angesubir hiyo kesho kina roma watasema nn,hizi hoja zinakosa mashiko zipo kama vile za mpiga ramli.
 
Nadhani kuna tofauti kati ya hoja na marangi rangi.
 
Umepangilia hoja vizuri kiasi kwamba umenifanya nione kweli kuna mchezo hapa
 
Haiwezi kuwa walijiteka. Hata Roma aliposhuka kwenye gari tu alionyesha kutembea kwa shida huku akichechemea hali inayoonyesha alikumbana na dhoruba. Na kwa hali ile cdhani kama ataongea ukweli.
 
Kiu yangu haya mnayoyabeza yawakute nyie ili hoja hizi nyepesi muache kuzisema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…