cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Nilikuwa nakutafuta ili nikuongeze kwenye ignore list,asante
Eeeeeh hautaweza kuni ignore bila kurudi kunisoma, jidanganye. Nakupa pole pia kwa kuumia na ukweli ninaowarushia humu. Mtanyooka tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa nakutafuta ili nikuongeze kwenye ignore list,asante
Una ushahidi wa hicho unachokiongea? Na kwani ukitumia lugha ya busara tu utapungukiwa nini?Matendo haya ya kishenzi yanafanywa na mkulu mwenyewe akishiriana na litoto lake jambazi lililokubuhu libashite
vipi kama sio kweli??Matendo haya ya kishenzi yanafanywa na mkulu mwenyewe akishiriana na litoto lake jambazi lililokubuhu libashite
Hiyo ni mashine(godoro) la bashite huwa anajipigiaHivi huko Lumumba huwa hamruhusiwi hata kutafakari na kuchanganua mambo japo kidogo sana!!!?
Wallah, ujinga utawamaliza.