FACT CHECK: Roma hakutekwa, alijiteka kwa maslahi binafsi ya kiMuziki

FACT CHECK: Roma hakutekwa, alijiteka kwa maslahi binafsi ya kiMuziki

Wakati Fulani baada ya kutengeneza iphone. Engineer wa apple kabla simu haijaingia sokoni aliisahau makusudi kwenye mgahawa. Watu walipoiona wakaitangaza. Steve jobs alipoitangaza rasmi watu wakaisubiri kwa hamu.........!!!! Mwenye ufahamu na aelewe
 
Akiliccm, ni kudhani matumizi ya mabavu yanaweza kunyamazisha watu!
Walipiga watu mabomu ya machozi na virungu... watu wakanyamaza...
Wakaiba kura na kutengeneza matokeo walivyotaka kura watu wakanyamaza...
Wakang'oa watu meno... watu wakanyamaza...
Wameendelea kutishia watu silaha za moto na vitisho vingine... watu wamenyamaza...
Mauaji ya viongozi wa serikali na askari yasiyo na majibu.. watu wamenyamaza...
Utekaji na uvamizi unaoendelea vitatufikisha wapi? Je watu watanyamaza hadi lini?
Wanadamu hususan katika nchi zetu hizi hukata tamaa! Je kabla hawajakata tamaa nini kinafanyika kuzuia matukio ovu yatakayopelekea hali ovu kutokea?

Watu waovu hushabikia uovu ambao mwisho wa siku pia wao hauwaachi salama!
 
Tatizo watanzania mnapenda udaku sasa acha wataalamu waendelee kuwapa mnachotaka huku mambo ya msingi yakiwapita.
 
Hebu tupeni mbinu za kujiteka,kisha mtupe mbinu za kujinasua pindi tukitekwa
 
Back
Top Bottom