FACT CHECK: Roma hakutekwa, alijiteka kwa maslahi binafsi ya kiMuziki

Ume crash mada sawa,but sio kwa hoja..mdau apo juu kaleta hoja na evidence as usual waTz 2nacrash kwa pointless,..mtendee haki bhana mleta mada
Mbona huonyeshi mfano? au na wewe unashabikia porojo za mleta uzi?
 
Huyu aliyeandika hii thread inaelekea ana uzoefu mkubwa wa kuframe mambo

Safi sana jf inanikuza kiakili nakuwafahamu vizuri baadhi ya watu

Najua kuna course kabisa ya kuweza kwenda na maswali ya kifalsafa ila kwetu Tanzania tunaitumia ndivyo sivyo
 
Majibu rahisi sana:

Walikuwa wanakwepa kuingia ndani moja kwa moja kwa hofu ya kuchukuliwa picha na camera ambazo walihisi huenda zipo ila inawezekana baada ya kuongea nao wakaambiwa studio hakuna camera ndio wakamtuma huyo mmoja wao aingie.

Kama walipigwa na nguo zikawa na dam au zilichanika kwa kipigo au purukushani ulidhani watekaji wangekubali kuwakabidhi wakiwa na nguo zenye damu ili kuthibitisha ni kweli walipigwa?

Kama hakujeruhiwa walifuata nini hospitali ya Mwananyamala?



Tumia akili.
 
Mbona hueleweki heading yako unasema hajutekwa bali alijipoteza! Unajua mwenzio anamaumivu na varanfati hilo ww unaleta masihara, cha msingi wananchi tunahitaji hao wslimuwa wanashikiliwa na nani na hata wakiwa ni vyombo vya dola cha msingi kama watahitaji kumkamata mtu wajitambulishe kabla hawajachukua maamuzi yao kwani ipo cku hata waharifu wanaweza tumia mtindo huo na tukapiteza wapendwa wetu kama mazingira haya na kuzusha tafaruku kwenye familia!
 
Bashite kakulipa hela nzuri sana leo kwa kuandika upupu huu akidhani utaweza kudanganya GT wa Jamiiforums. Pole kijana ila kumbuka hakuna marefu yasiyokuwa na ncha, Muda utaongea!
Sawa ila lete hoja, au hii inahitaji elimu zaidi ambayo kwako bafo
 
Kutembea anayumba yumba we unasema hajapigwa hata kofi.
Kutembea kwa kuyumbayumba inawezekana amejeruhiwa au ametumia kilev cha kumfanya ayumbeyumbe au anajiyumbisha. kwa hyo mi nawe hatujui picha inayoendelea labda tumuulize Roma mwenyewe
 
Nikuelimishe kidogo, achana na ushabiki unaoendelea kwanza soon mantiki ya kusema waliovamia clouds. Sema walioenda clouds, hakuna uvamiz unaofanyika kwa ustail ile bila majeruh.
 
Nikuelimishe kidogo, achana na ushabiki unaoendelea kwanza soon mantiki ya kusema waliovamia clouds. Sema walioenda clouds, hakuna uvamiz unaofanyika kwa ustail ile bila majeruh.
Nenda katafute tafsiri sahihi ya neno uvamizi afu uje kunielimisha.....
 
Kutembea kwa kuyumbayumba inawezekana amejeruhiwa au ametumia kilev cha kumfanya ayumbeyumbe au anajiyumbisha. kwa hyo mi nawe hatujui picha inayoendelea labda tumuulize Roma mwenyewe
Mkuu kilevi tena [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ngoja ni~subcribe thraed ako kakadooo...maana hawa wa2 c wa kisport~sport...
 
Story ndefu za utetezi juu ya bashite hazitasaidia kitu kamwe watu wanajua bashite yupo busy kujinasua toka kwenye move yake hata mje na mbinu gani watu hawatakaa waamini utetezi wenu.
 
Huyu aliyeandika hii thread inaelekea ana uzoefu mkubwa wa kuframe mambo

Safi sana jf inanikuza kiakili nakuwafahamu vizuri baadhi ya watu

Najua kuna course kabisa ya kuweza kwenda na maswali ya kifalsafa ila kwetu Tanzania tunaitumia ndivyo sivyo
Watetezi wa bashite wapo busy kuwageuza akili watanzania bado wanaamini kuwa wanaweza kutengeneza uongo watu wakauamini.
 
Nikuelimishe kidogo, achana na ushabiki unaoendelea kwanza soon mantiki ya kusema waliovamia clouds. Sema walioenda clouds, hakuna uvamiz unaofanyika kwa ustail ile bila majeruh.
mleta mada ni mshamba hajui kuwa watekaji hutumia nguvu pindi mtekwaji akikaidi Amri zao na watekaji wana mbinu nyingi kwenye utekaji huja kwa ujanja wa hali ya juu ili wasijulikane mapema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…