Fact Checking: Rais Magufuli hukumteua Masilingi kuwa Balozi Marekani baada ya kumaliza Ubunge wa Muleba

Fact Checking: Rais Magufuli hukumteua Masilingi kuwa Balozi Marekani baada ya kumaliza Ubunge wa Muleba

Mkuu Kiranga, what matters most to Tanzanians.
Hakuna mtu yoyote aliyesema Magufuli ni malaika!. Magufuli is just a human being, just like you and me, and he can do mistakes, lakini tukubali, tukatae, Magufuli anafanya makubwa mazuri kwa nchi hii, anastahili kuongezewa miaka mitano tena, not as a favour kumpendelea au kumhurumia, but deserving, anastahili!.
P
Makubwa yapi? Na unajuaje wengine hawawezi kufanya makubwa zaidi, kwa nidhamu ya juu zaidi ya hii tunayoiona ya vituko vya Magufuli?

Inawezekana tuna standards tofauti.
 
Duh, Mkuu Kishina cha Mshahara, mtu anayejipendekeza kupitiliza ili kutafuta uteuzi, si kazi yake itakuwa ni kusifu tuu?!, atathubutu kukosoa?. Mimi humu kila siku ni mkweli daima, kwenye mazuri, nitasifu, na kwenye mabaya nitakosoa.
Angalia tarehe ya bandiko hili,

Halafu uniambie hili ni bandiko la mtafuta uteuzi?
Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Uchaguzi, (NEC), Lawamani Kuwaengua Wagombea Kwa Hoja Nyepesi Nyepesi, Je ni Ukiukwaji wa Haki za Binaadamu? Jicho Letu
P
Ina maana hujui nani alie nyuma ya haya yote?
 
Wewe ni mtu mwenye chuki zako binafsi na Magufuli. Of course Raisi ndio anapitisha jina la mtu na kama hafai anatolewa. Of course Magu ndio boss wake mjinga wewe
 
Hutu Ni ongo halafu nafiki kweli huonagi anavyoenda kanisani kutembea , vipi na vitendo na kauli zake , kwa Mkapa kajiliza huku ndio mhusika.
 
Mkuu Missile of the Nation, kwanza Asante kwa bandiko lako la facts checking na asante kutuwekea video clip ya Magufuli alichosema Muleba, Magufuli is very right.

Amesema Masilingi aliteuliwa balozi baada ya kumpisha jimbo Mama Tibaijuka, hata kama mwanzo aliteuliwa na JK, baada ya Serikali mpya kuingia madarakani, Rais mpya anawateua upya mabalozi wote, ma RC wote na ma DC wote, hata kama mwanzo waliteuliwa na mtangulizi wake, re appointment amefanya yeye, hivyo he is right Magufuli amemteua Masilingi.

Moja ya sifa za ziada za Magufuli ni Mkweli Daima!.

Nawashauri Watanzania wenzangu, Wazalendo wa kweli wanaolitakia mema taifa hili, October 28 tusifanye makosa!.
P
Wote uliowasema waliandikiwa barua ya reappointment?
 
Kwenye kinyang'anyiro cha Uchaguzi wa mwaka huu wa 2020, Rais Magufuli alipopita katika mkoa wa Kagera wilayani Muleba, aliwaambia wananchi wa wilaya hiyo kuwa anafahamiana sana na mheshimiwa Masilingi na kwamba yeye ndiye aliyemteua Masilingi kuwa Balozi Marekani baada ya Ubunge wake huko Muleba.

Ukweli ni kwamba Masilingi aliteuliwa na Rais Mstaafu Kikwete kuwa Balozi wa Marekani mwezi AUGUST 2015, wakati huo Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Lakini pia, Ndugu Masilingi hakuwemo kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la mwaka 2010 hadi 2015.

Ukweli ni kwamba ndugu Masilingi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Netherlands mwaka 2013, wakati huo Magufuli ni Waziri.

Tunaomba Wagombea Urais pindi wakijinadi mbele ya wananchi waseme ukweli, Wasidanganye wananchi.

Naiomba na Tume ya Uchaguzi, badala ya kukemea matusi peke yake ikemee wagombea kusema uongo majukwaani.

Wananchi wana haki ya kuambiwa ukweli na siyo kupigwa kamba!

Hapa chini ni video ya Magufuli huko Muleba:

View attachment 1572029

Wakati huo mtandao wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani unasema ifuatavyo kuhusu ubalozi wa Masilingi:

View attachment 1572036

TUNATAKA VIONGOZI WASEMA KWELI

Daah, Bwana yule muongo hivi. Wananchi wana JAMBO LAO tarehe 28 Oktoba 2020.
 
Baada ya October nikumbushe nikupe pole yako!.
Pia usisahau kunishukuru kwa kukuandaa kisaikolojia kupokea kipigo, hivyo ku reduces the impact of defeat.
P
Yaani kiufupi mpo frastuated hamtaiba hata robo ya kura
 
Kwenye kinyang'anyiro cha Uchaguzi wa mwaka huu wa 2020, Rais Magufuli alipopita katika mkoa wa Kagera wilayani Muleba, aliwaambia wananchi wa wilaya hiyo kuwa anafahamiana sana na mheshimiwa Masilingi na kwamba yeye ndiye aliyemteua Masilingi kuwa Balozi Marekani baada ya Ubunge wake huko Muleba.

Ukweli ni kwamba Masilingi aliteuliwa na Rais Mstaafu Kikwete kuwa Balozi wa Marekani mwezi AUGUST 2015, wakati huo Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Lakini pia, Ndugu Masilingi hakuwemo kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la mwaka 2010 hadi 2015.

Ukweli ni kwamba ndugu Masilingi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Netherlands mwaka 2013, wakati huo Magufuli ni Waziri.

Tunaomba Wagombea Urais pindi wakijinadi mbele ya wananchi waseme ukweli, Wasidanganye wananchi.

Naiomba na Tume ya Uchaguzi, badala ya kukemea matusi peke yake ikemee wagombea kusema uongo majukwaani.

Wananchi wana haki ya kuambiwa ukweli na siyo kupigwa kamba!

Hapa chini ni video ya Magufuli huko Muleba:

View attachment 1572029

Wakati huo mtandao wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani unasema ifuatavyo kuhusu ubalozi wa Masilingi:

View attachment 1572036

TUNATAKA VIONGOZI WASEMA KWELI
Labda anamaanisha urais kama taasisi, aliyemteua Masilingi ni rais na Magufuli ni rais!
 
Mkuu Missile of the Nation, kwanza Asante kwa bandiko lako la facts checking na asante kutuwekea video clip ya Magufuli alichosema Muleba, Magufuli is very right.

Amesema Masilingi aliteuliwa balozi baada ya kumpisha jimbo Mama Tibaijuka, hata kama mwanzo aliteuliwa na JK, baada ya Serikali mpya kuingia madarakani, Rais mpya anawateua upya mabalozi wote, ma RC wote na ma DC wote, hata kama mwanzo waliteuliwa na mtangulizi wake, re appointment amefanya yeye, hivyo he is right Magufuli amemteua Masilingi.

Moja ya sifa za ziada za Magufuli ni Mkweli Daima!.

Nawashauri Watanzania wenzangu, Wazalendo wa kweli wanaolitakia mema taifa hili, October 28 tusifanye makosa!.
P
Sawa ni kweli daima Kuna muhimili uliojichimbia kushinda mwenzake,1.5 Tillion hazijapotea ,ATCL inakaguliwa na CAG,tenda ya uwanja wa Tchato ilitangazwa publicly

Rais wetu ni mzalendo haswaa ,hafanyi unajisi wa agency za umma wala sheria zake
 
Ona AIBU unapochangia humu JF,

Sikiliza hotuba uelewe nini KIMETAMKWA.

UONGO NI DHAMBI.
Usilazimishe mimi kuelewa ulivyoelewa wewe kisa tu unachuki na JPM. Pia huna hoja za msingi za kumkosoa,maana urais ni taasisi ambayo inaongozwa marais. So kusema alimteua sioni kuna ubaya kisa tu mtangulizi wake alifanya first appointment.
 
Kwenye kinyang'anyiro cha Uchaguzi wa mwaka huu wa 2020, Rais Magufuli alipopita katika mkoa wa Kagera wilayani Muleba, aliwaambia wananchi wa wilaya hiyo kuwa anafahamiana sana na mheshimiwa Masilingi na kwamba yeye ndiye aliyemteua Masilingi kuwa Balozi Marekani baada ya Ubunge wake huko Muleba.

Ukweli ni kwamba Masilingi aliteuliwa na Rais Mstaafu Kikwete kuwa Balozi wa Marekani mwezi AUGUST 2015, wakati huo Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Lakini pia, Ndugu Masilingi hakuwemo kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la mwaka 2010 hadi 2015.

Ukweli ni kwamba ndugu Masilingi alikuwa Balozi wa Tanzania nchini Netherlands mwaka 2013, wakati huo Magufuli ni Waziri.

Tunaomba Wagombea Urais pindi wakijinadi mbele ya wananchi waseme ukweli, Wasidanganye wananchi.

Naiomba na Tume ya Uchaguzi, badala ya kukemea matusi peke yake ikemee wagombea kusema uongo majukwaani.

Wananchi wana haki ya kuambiwa ukweli na siyo kupigwa kamba!

Hapa chini ni video ya Magufuli huko Muleba:

View attachment 1572029

Wakati huo mtandao wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani unasema ifuatavyo kuhusu ubalozi wa Masilingi:

View attachment 1572036

TUNATAKA VIONGOZI WASEMA KWELI

The President Dr Magufuli is right, he re-appointed Lawyer Masilingi as an ambassador.
 
wewe ndio Muongo
Magufuli alirudisha nyumbani mabalozi wote,waliotemwa wakatemwa,waliorudi wakarudi na wapya wakaingia
Yupo sahihi kwa kuwa alimfanyia extension,muda wa Masilingi kustaafu umepita bwashee,acha kusema Rais wetu muongo

Aliwaita nyumbani kujadiliana nao, kama vile alivyowahi kuita watendaji wa kata wote Ikulu kupeana miongozo ya kazi.
Hakuwaita mabalozi kuwatengua wote na kisha kuteua upya!
 
Aseme Ukweli

Watu walikuwa wanamsikiliza huku kimoyomoyo wakijisemea huyu mzee haoni haya kupiga watu kamba mchana kweupeee?

Kama anapiga watu kamba kwa vitu obvious kama hivi, Je, ni kweli atatimiza ahadi anazozinadi kwenye kampeni?
Magufuli ndio baba wa uwongo, hata zile barabara za kutoka morroco kwenda mwenge alidanganya umma kwamba zinajengwa kwa pesa za sherehe za uhuru kumbe ni Wajapan ndio wametowavmsaada.

Hili lizee lilikuwa liongo sana.
 
Back
Top Bottom