Sipendi mada hii kabisa. suala la nani kuchagua chama gani au nani kamsaport nani katika uchaguzi uliopita si jambo la muhimu kwa sasa.
Ila nasikitishwa na baadhi ya SMS ambazo zilikuwa zikitumwa na watu mbalimbali zikiwa na malengo tofauti.
mfano ni SMS hii.
"SMS TOKA MEZA KUU; WAPENDWA KATIKA BWANA: WAKRISTO, MAASKOFU WAMEPINGA UCHAGUZI MKUU KUFANYIKA JUMAPILI, CHADEMA WAMETUUNGA MKONO, HILO NI JAMBO LA BARAKA NA PIA KURA ZETU HAKUNA KUIPA CCM YA KIKWETE ANAYEWADEKEZA WAISLAM WENZAKE KWA KUWAPA VYEO,OIL NA MAHAKAMA YA KADHI, TUKIJIPANGA TUTAING'OA CCM WANI KURA ZA WAISLAMU WENZAKE ZIMEGAWANYIKA CUF NA CCM, WENGINE WANAPINGA KUPIGA KURA NA HILO NI BARAKA KWETU, TUZIDISHE MAOMBI KWA KRISTO MUNGU MKUU NA MWOKOZI WETU ILI KIKWETE NA WAISLAMU WAZIDI KUGAWANYIKA. MUNGU WABARIKI WAKRISTO, MUNGU IBARIKI TANZANIA"
Nilishtuswa na SMS hii pengine nikasema huenda inatoka Usalama wa taifa. lakini nikawa nasikia MIITO mingi kutoka Makanisani eti Tusichague Chama bali Tuchague MTU. Nikajisemea, Huenda SMS ile ni Kweli.
Ninaye babangu mdogo: yeye ni Mkristo. baada ya kutoka Kupiga Kura alisema; NIMESHAUA! mshenzi yule harudi Madarakani!
Nikajisemea Moyoni "NI MUNGU GANI ANAYEWEZA KURUHUSU MWASHERATI KUONGOZA NCHI??". SI TUNAKARIBISHA LAANA???