Fact: Ile tuzo ya mashabiki bora ilipaswa wapewe Yanga na sio Simba

Fact: Ile tuzo ya mashabiki bora ilipaswa wapewe Yanga na sio Simba

DullyJr

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
13,983
Reaction score
11,857
Kwanini nasema hivyo?

Kwasababu yanga/utopolo ndio ina washabiki wenye roho ngumu kuliko wote hapa Afrika, wanawezaje kukaa na maumivu ya kupigwa 5 kwa 0 pale kwa mkapa mpaka leo hii,ikiwa sisi washabiki wa GIANT CLUB IN AFRICA tunashindwa hata kama rekodi yetu haijavunjwa bado.

Tupeni siri utopolo, maana tungefingwa na AL AHLY, MAMELODI ,ESPERANCE, CASABLANCA n.k tuaingeumia sababu nimaGIANT wenzetu, yaani maumivu mnayoyapitia nyinyi kudungwa na IHEFU ndio haya tunayoyapitia sisi maana tumefungwa na MEDIOCRE CLUB.

FB_IMG_17004726768884008.jpg
 
Simba walishajiona wao ndio wao wenzao wakijipanga kwa yote iwe maumivu na furaha wao walibweteka leo tunaona yanga wama mashabiki wenye roho ngumu maana walishazoea kushindwa na wakajipanga. Ukijiuliza simba kwanini wamemfukuza kocha na bado shid ipo hupati jibu. Japo kuna zimwi lao wanaliogopa ila hilo ndio linawatafuna kocha wa watu angebaki na nagefanya vyema ila zimwi Mo ndio lonawala wanatafuta mchawi kila siku
 
Inapidi umwambie huyu brother.
Screenshot_20231120_142910_Instagram.jpg

Nyie ndio mnstahili yaani mnapigwa kamba na viongozi wenu kila siku,mara Manzoki huku sijui Adebayor,mara mmeongea na whatsapp wawatengenezee group, nyie hii tuzo mnastahili kwani mnavumilia sana kamba za viongozi wenu.
Screenshot_20231117_103534_Instagram.jpg

Yaani mwendo wa kamba.
 
Simba sc akikumbushwa 5 atakuletea stori na historia ya Miaka 10 iliyopita kipindi ambacho

1. Nusu ya ya idadi ya watanzania ya sasa ilikuwa haijazaliwa

2. Mitaani na uwanjani mashabiki wanawake wanaopenda na kufuatilia Mpira ni wachache

Kama ni historia yanga itakuwa ni historia kubwa kuliko simba katika ligi ya Tanzania.

Caf hawajakosea kuweka yanga miongoni mwa vilabu 5 bora barani afrika !
 
Kwanini nasema hivyo?
Kwasababu yanga/utopolo ndio ina washabiki wenye roho ngumu kuliko wote hapa Afrika,wanawezaje kukaa na maumivu ya kupigwa 5 kwa 0 pale kwa mkapa mpaka leo hii,ikiwa sisi washabiki wa GIANT CLUB IN AFRICA tunashindwa hata kama rekodi yetu haijavunjwa bado....
Tupeni siri utopolo,maana tungefingwa na AL AHLY,MAMELODI ,ESPERANCE ,CASABLANCA n.k tuaingeumia sababu nimaGIANT wenzetu,yaani maumivu mnayoyapitia nyinyi kudungwa na IHEFU ndio haya tunayoyapitia sisi maana tumefungwa na MEDIOCRE CLUB....View attachment 2819763
 

Attachments

  • Screenshot_20231120-173506.jpg
    Screenshot_20231120-173506.jpg
    100.4 KB · Views: 1
Itakuchukua mda mrefu sana kupona Hilo jeraha fanya mambo mengine vinginevyo utajinyonga
 
Simba sc akikumbushwa 5 atakuletea stori na historia ya Miaka 10 iliyopita kipindi ambacho

1. Nusu ya ya idadi ya watanzania ya sasa ilikuwa haijazaliwa

2. Mitaani na uwanjani mashabiki wanawake wanaopenda na kufuatilia Mpira ni wachache

Kama ni historia yanga itakuwa ni historia kubwa kuliko simba katika ligi ya Tanzania.

Caf hawajakosea kuweka yanga miongoni mwa vilabu 5 bora barani afrika !
Wewe hukuwepo?
FB_IMG_17004726768884008.jpg
 
Back
Top Bottom