Fact: Magufuli destroyed our economy and we were herding to total economic depression

Fact: Magufuli destroyed our economy and we were herding to total economic depression

-Imagine bei ya kila zao kuanzia la chakula Hadi biashara ziliharibika.

-Sekta ya nyumba iliporomoka.

-Sekta ya benki ilikuwa inaoumulia mipira,

-Sekta ya biashara ndio kabisaa vilio vya kufunga biashara vilisikika Kila kukicha,

-Kwenye investments Sasa Toka uwekezaji wa dola bil.3 Kwa mwaka Hadi mil.600 [emoji16][emoji16].

Mwendazake alibaki anaendesha Uchumi Kwa kutegemea vitu 3,
-Bandari zetu(hizi zinategemea uchumi wa Nchi jirani?
-Bei ya dhahabu soko la Dunia ikipanda sana,
-Utalii,
-Mikopo hasa ya kibiashara.

Angekuwa hai awamu ya pili tozo zingekuwa mara 2 maana ni serikali yake ndio ulikuja na tozo mwaka 2021,ikumbukwe Mpango wa uchumi huandaliwa baada ya nusu ya mwaka.
-Pia hali ya maisha ingekuwa mbaya sana na ambavyo alitunga Sheria za kuzuia kutoa takwimu mbadala tungekoma..

Jiwe sio tuu alikuwa failure ila hata mamiradi yake yataitesa Nchi Kwa miaka Mingi ijayo maana Sgr ni total loss..
Kwa hiyo ulitaka jiwe aendeshe uchumi kwa kutegemea tozo kama huyu bibiako?
 
Thanks God that all is well.

In fact our GDP is still very low and it is as 5 times lower that that of Washington DC not speaking about the whole country.

Even the low budget of roughly 3.3 trillion reflects the low GDP of this country. Now, contrary to what was expected jpm decided to launch heavy investments/projects which take are not correlated to the level of economy. I don't know what was his thinking about these white elephants projects and what could the source of finances.

The hyper inflation we are having now is due to these opening ups of projects because of economic reasons. For example once you open big projects but not having enough equity or even technique know how, you gonna outsource every thing which is bad to the economy. Eg having many Chinese or Egyptians working in these projects it leads to capital outflow or the so called linkages. This creates contractionary money circulation hence big inflation because some of activities will not flourish due to lack of finances.

It will continue if at all you are interested.
Kwenda zako wewe mpigaji tu. Kingereza chenyewe hujui. Unafikiri kila mafanikio kiuchumi ya nchi yanapimwa kwa mtazamo wa mfanyabiashara?
 
Miafrika hata hatujui tunataka nini. Natamani kweli hata tuje tutawaliwe tena maana hatujajifunza lo lote [emoji706][emoji706][emoji706]
 
Itachukua muda mrefu sana kurekebisha makosa makubwa katika uchumi
 
In fact.. Mwendazake was clueless.. didn't even know what was in the store for Tz as he acted an osteich way besides all the noises everywhere.. Time doesn't forget anything.. we are seeing how madness can ruin the country. Tz is still on the crash course because those white elephant projects are here to stay.. those jumbo jets, sgr, jnhpp.. tanzanite bridge, dodoma relocation.. such scandalous deals..

In the end.. God knew it all.. did what pleased him..
Yaani wewe you are just stupid. Because the economost or any other capitalists called those projects white elephants you tend to believe them.
Can you explain then how GDP per capita evolved to usd 1085 suddenly under Magufuli and the country became lower income middle economy?
 
-Imagine bei ya kila zao kuanzia la chakula Hadi biashara ziliharibika.

-Sekta ya nyumba iliporomoka.

-Sekta ya benki ilikuwa inaoumulia mipira,

-Sekta ya biashara ndio kabisaa vilio vya kufunga biashara vilisikika Kila kukicha,

-Kwenye investments Sasa Toka uwekezaji wa dola bil.3 Kwa mwaka Hadi mil.600 😁😁.

Mwendazake alibaki anaendesha Uchumi Kwa kutegemea vitu 3,
-Bandari zetu(hizi zinategemea uchumi wa Nchi jirani?
-Bei ya dhahabu soko la Dunia ikipanda sana,
-Utalii,
-Mikopo hasa ya kibiashara.

Angekuwa hai awamu ya pili tozo zingekuwa mara 2 maana ni serikali yake ndio ulikuja na tozo mwaka 2021,ikumbukwe Mpango wa uchumi huandaliwa baada ya nusu ya mwaka.
-Pia hali ya maisha ingekuwa mbaya sana na ambavyo alitunga Sheria za kuzuia kutoa takwimu mbadala tungekoma..

Jiwe sio tuu alikuwa failure ila hata mamiradi yake yataitesa Nchi Kwa miaka Mingi ijayo maana Sgr ni total loss..
Umesahau uporaji na lile jinamizi la plea bargain
 
Thanks God that all is well.

In fact our GDP is still very low and it is as 5 times lower that that of Washington DC not speaking about the whole country.

Even the low budget of roughly 3.3 trillion reflects the low GDP of this country. Now, contrary to what was expected jpm decided to launch heavy investments/projects which take are not correlated to the level of economy. I don't know what was his thinking about these white elephants projects and what could the source of finances.

The hyper inflation we are having now is due to these opening ups of projects because of economic reasons. For example once you open big projects but not having enough equity or even technique know how, you gonna outsource every thing which is bad to the economy. Eg having many Chinese or Egyptians working in these projects it leads to capital outflow or the so called linkages. This creates contractionary money circulation hence big inflation because some of activities will not flourish due to lack of finances.

It will continue if at all you are interested.
Kumlaumu muda wote mtu aliyekufa kama JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI tena miaka inaenda kuwa mitatu ni ishara tosha kwamba watu wengi AKILI hakuna,kama ni bandari,madini,wanyama na rasilimali nyingi ameziacha hajabeba hata kimoja.Kweli watu weusi tuna safari ndefu sana sana.Kiingereza umeandika tena kwa lawama lkn tatizo linabaki kuwa AKILI NDIO HAZIPO.Tutajikuta muda wote ni kumlaumu Magufuli huku tukiusahau utajiri tulio nao nyuma bila ulinzi wowote na Anaye wachezesha ngoma ya Magufuli muda wote hakika amefaulu sana.TUSIJISAHAU NAMNA HIYO NI HATARI SANA.
 
During magufuli regime that was no budget it was one man show. The parliament was there as rubber stamp. No one could Critisise whatsoever. You heard about the spread of carcases around coco beach, right?
Kama bunge likijadili bajeti hali ndo hii Kuna haja gani ya bunge kujadili
 
Mzee Kigunge alituonya akatuamnia jamaa hakufaa hata ujumbe wa nyumba kumi, lawama zote hizi ziende kwa CCM. kutuingiza chaka; Na bado yatafumuka mengi zaidi.

Waandika legacy mtusamehe hatumsemi marehemu kwa ubaya ila inabidi tuyachambue yote kabla ya ku set way forward ili yasije kutatukuta mengine yanayofanana na haya.
Tanzania ilipata uhuru mwaka gani , na hayati JPM aliingia madarakani mwaka gani. Kipi cha kujivunia ambacho kilifanywa na wengine hayati JPM akaharibu. Mtu mzima kumlalamikia marehemu ni uelewa mdogo
 
Thanks God that all is well.

In fact our GDP is still very low and it is as 5 times lower that that of Washington DC not speaking about the whole country.

Even the low budget of roughly 3.3 trillion reflects the low GDP of this country. Now, contrary to what was expected jpm decided to launch heavy investments/projects which take are not correlated to the level of economy. I don't know what was his thinking about these white elephants projects and what could the source of finances.

The hyper inflation we are having now is due to these opening ups of projects because of economic reasons. For example once you open big projects but not having enough equity or even technique know how, you gonna outsource every thing which is bad to the economy. Eg having many Chinese or Egyptians working in these projects it leads to capital outflow or the so called linkages. This creates contractionary money circulation hence big inflation because some of activities will not flourish due to lack of finances.

It will continue if at all you are interested.

Herding? You wrote herding? wtf? Lmao..
 
Put it in Swahili, may be you hate kiwahili that's why you speak negatively about JPM. For your information, JPM was a man with vision. A good leader is the one who knows how to direct his/her people in a proper way. JPM was the one.
 
During magufuli regime that was no budget it was one man show. The parliament was there as rubber stamp. No one could Critisise whatsoever. You heard about the spread of carcases around coco beach, right?
Weak argument, corpse have been found even in sixth phase of governance, they are not indicators of cruelty of a certain president,

This world is so evil. Another method of killing among citizens and has been like this for decades and decades.
 
My dear writer please! can you tell us about the level of your education, because the title does not match with description.
 
Thanks God that all is well.

In fact our GDP is still very low and it is as 5 times lower that that of Washington DC not speaking about the whole country.

Even the low budget of roughly 3.3 trillion reflects the low GDP of this country. Now, contrary to what was expected jpm decided to launch heavy investments/projects which take are not correlated to the level of economy. I don't know what was his thinking about these white elephants projects and what could the source of finances.

The hyper inflation we are having now is due to these opening ups of projects because of economic reasons. For example once you open big projects but not having enough equity or even technique know how, you gonna outsource every thing which is bad to the economy. Eg having many Chinese or Egyptians working in these projects it leads to capital outflow or the so called linkages. This creates contractionary money circulation hence big inflation because some of activities will not flourish due to lack of finances.

It will continue if at all you are interested.
Only someone from hell will say that the investment started by JPM is ineffective! How many billions are lost to CCM's corruption and theft? Do you think there is a comparison between the money stolen by CCM and the existing investment! You will be out of your mind
 
Back
Top Bottom