Yupo kwenye hili game hao akina mbosso sijui watasubiri sana!where is aslay sasa?
WCB moja ya vitu vimenishinda kuwaelewa ni kuhusu Mbosso.Yupo kwenye hili game hao akina mbosso sijui watasubiri sana!
Kiukweli kwa biashara aliyekuwa anatakiwa kuchukuliwa pale ni aslay au beka!WCB moja ya vitu vimenishinda kuwaelewa ni kuhusu Mbosso.
Dogo ni garasha hasa, kapewa kila kitu lakini wapi, naimagine Aslay au Beka ndo wangepewa chansi hii.
FactKiukweli kwa biashara aliyekuwa anatakiwa kuchukuliwa pale ni aslay au beka!
Nadhani huenda Dogo alikua anaelewana sana na Mkubwa fella ndio Maana akaunganishiwa wcb!
Na hili bifu lao Na media zilizo nyingi ndo wameharibu kabisa!
Yupo kwenye hili game hao akina mbosso sijui watasubiri sana!
Uwiiii bebi zima feni unipepee napenda hapo mimiNipepee ni kwikwii mjini
'Kwa raha' bonge la songAslay aliishia kwenye natamba, ukisikia hit nyingine toka kwake niambie nijitoe JF
'Kwa raha' bonge la song
Sema kueleweka na RugeAslay wimbo wake wa mwisho kueleweka na raia ni natamba. Unaweza usikubali ila ndio ukweli.
Mbona huyo aslay hasikiki sahvWrite your reply...
Huyu na wenzie walikuwa wanabebwa na aslay!
Inatakiwa wamshukuru sana
Fact mkuu ila hao clouds ni mbwa tunadhani Wcb watake suluhishi na IPP lakini wale wengine waachane nao.IPP wana Tv promotion n Radio Promotion iliyo fair.