FACT. media za bongo zinamuhitaji zaid diamond kuliko yeye anovozihitaj

so law

Senior Member
Joined
Dec 24, 2018
Posts
101
Reaction score
269
Zaid ya watu 24,000/= Jana walikesha kumfatilia Diamond plutnumz.

Hii sio kawaida, hakuna mtu bongo
Hii alishawah kwenda YouTube live na akatizamwa na watu zaid ya elfu kumi.

Ifike wakati media zeny bifu na Huy dogo wakubali tu kwamb dogo moto wake hauzimik na kukubalika kwake na wananchi ni tofauti.
 
Pumba kama hizi zinapatikana tanzania tu
Na ukihitaji tanzanite zinapatikana Tanzania tu.
Na MADINI YA DIAMOND kama siyo yanapatikana Africa nzima basi dunia nzima.Sababu kwenye dollar ya marekani wamesema "IN GOD WE TRUST" kwaio D imesimama badala ya "DIAMOND".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…